TEHRAN (IQNA) - Harakati ya Kiislamu ya Nigeria imetoa wito wa kuachiliwa huru kiongozi wa harakati hiyo Sheikh Ibrahim Zakzaky pamoja na mkewe Malama Zinat Ibrahim ambao hali zao za kiafya zinazidi kuwa mbaya siku baada ya siku.
Habari ID: 3473164 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/13
TEHRAN (IQNA) –Kituo Jumuishi cha Kufunza Qur’ani (IQE) kimefunguliwa katika jimbo la Niger nchini Nigeria.
Habari ID: 3473133 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/03
TEHRAN (IQNA) - Maafisa wa polisi nchini Nigeria wamewashambulia Waislamu waliokuwa wamekusanyika kwa ajili ya maombolezo ya Muharram ya Imam Hussein AS, katika jimbo la Kaduna.
Habari ID: 3473097 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/24
TEHRAN (IQNA) – Wafuasi wa kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria wameandamana katika mji mkuu wa nchi hiyo, Abuja wakitaka serikali imuachilie huru.
Habari ID: 3473062 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/13
TEHRAN (IQNA) - Mahakama moja wa Kiislamu nchini Nigeria imemhukumu kifo mwanamuziki ambaye alikufuru na kumvunjia heshima Mtume Muhammad SAW.
Habari ID: 3473056 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/11
TEHRAN (IQNA) – Misikiti itafunguliwa tena katika mji mkubwa zaidi wa Nigeria, Lagos kuanzia Ijumaa Agosti saba lakini kwa masharti.
Habari ID: 3473029 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/03
TEHRAN (IQNA) –Tume ya Kiislamu ya Haki za Binadamu (IHRC) yenye makao yake London, Uingereza imeitaka serikali ya nchi hiyo imuachilie huru mara moja mwanazuoni wa Kiislamu nchini humo, Sheikh Ibrahim Zakzaky na mke wake ambao wamekuwa wakishikiliwa kizuizini tokea mwaka 2015 kwa mashtaka yasiyo na msingi.
Habari ID: 3473012 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/29
TEHRAN (IQNA)- Jeshi la Nigeria limetangaza kuwaangamiza magaidi 8 wa ngazi za juu wa kundi la Boko Haram.
Habari ID: 3472982 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/20
TEHRAN (IQNA) – Mawakili wa Sheikh Ibrahim Zakzaky wameitaka Mahakama Kuu ya Nigeria kutupilia mbali kesi dhdi ya yake itoe amri ya kuachiliwa huru mara moja mwanazuoni huyo na mke wake.
Habari ID: 3472976 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/18
TEHRAN (TEHRAN) - Wanachama wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria wameandamana katika mji mkuu wa nchi hiyo Abuja wakitangaza uungaji mkono wao kwa Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa harakati hiyo ambaye anaendelea kushikiliwa kizuizini licha ya hali yake mbaya ya afya.
Habari ID: 3472942 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/08
Mwanae Sheikh Zakzaky
TEHRAN (IQNA) - Mtoto wa Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria amesema kuwa, serikali ya Rais Buhari imeendelea kufanya vitendo vya ukandamizaji dhidi ya baba yake huyo anayeshikiliwa gerezani.
Habari ID: 3472920 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/01
TEHRAN (IQNA) – Washiriki wa mkutano ulioandaliwa kwa njia ya video na Tume ya Kiislamu ya Haki za Binadamu (IHRC) wamesisitiza kuwa serikali ya Nigeria inapaswa kuwajibishwa kuhusu mauaji ya mamia ya Waislamu katika hujjuma iliyojiri katika mji wa Zaria kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.
Habari ID: 3472910 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/29
TEHRAN (IQNA) - Raia zaidi ya 40 na wanajeshi wasiopungua 20 wameuawa katika mashambulizi mawili tofauti kaskazini mashariki mwa Nigeria.
Habari ID: 3472864 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/14
TEHRAN (IQNA)- Watu 69 wameauwa katika shambulio lililofanywa na magaidi wakufurishaji wa kundi la kigaidi la Boko Haram katika jimbo la Borno kaskazini mashariki mwa Nigeria.
Habari ID: 3472853 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/10
TEHRAN (IQNA) –Serikali ya Nigeria imeruhusu misikiti na maeneo mengine ya ibada kufunguliwa nchini humo lakini kwa masharti maalumu huku zuio la COVID-19 likianza kupunguza.
Habari ID: 3472839 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/05
TEHRAN (IQNA) – Baraza Kuu la Masuala ya Kiislamu Nigeria (NSCIA) limetangaza marufuku ya mijimuiko yote ya kidini katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani ili kuzuia kuenea ugonjwa wa corona.
Habari ID: 3472704 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/26
TEHRAN (IQNA) –Mhubiri wa Kiislamu Nigeria amekamatwa katika jimbo la Kano kaskazini mwa nchi hiyo baada ya kuswalisha Sala ya Ijumaa kwa siri kinyume cha amri ya serikali.
Habari ID: 3472688 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/21
TEHRAN (IQNA)- Makumi ya wanajeshi wa Nigeria na magaidi wakufurishaji wa kundi la Boko Haram wameuawa katika mapigano baina yao kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.
Habari ID: 3472613 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/29
TEHRAN (IQNA) - Mahakama ya Nigeria imeakhirisha tena kusikiliza kesi ya Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria (IMN), Sheikh Ibrahim Zakzaky hadi mwezi Aprili.
Habari ID: 3472503 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/25
TEHRAN (IQNA) - Kesi ya Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria pamoja na mkewe iliyokuwa ianze kusikilizwa jana imesogezwa mbele kutokana na hali mbaya ya afya zao iliyowafanya washindwe kufika mahakamani.
Habari ID: 3472448 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/07