TEHRAN (IQNA)- Mkuu wa Tume ya Kiislamu ya Haki za Binadamu (IHRC) Massoud Shajareh amesema utawala wa Nigeria hauna budi ila kumuachilia huru kiongozi wa harakati ya Kiislamu nchini humo Sheikh Ibrahim Zakzaky.
Habari ID: 3471934 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/29
TEHRAN (IQNA)- Magaidi wakufurishaji wa Boko Haram mapema leo wameshambulia mji katika eneo la kaskazini mashariki mwa Nigeria na kuwalazimu wakazi kutoroka masaa machache tu kabla ya kuanza upigaji kura katika uchaguzi mkuu.
Habari ID: 3471850 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/02/23
Taarifa ya Harakati ya Kiislamu Nigeria
TEHRAN (IQNA)- Jeshi la Nigeria linapanga njama ya kumua kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria (IMN), Sheikh Ibrahim Zakzaky anayeshikiliwa katika kizuizi cha kijeshi.
Habari ID: 3471833 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/02/08
TEHRAN (IQNA)- Waislamu nchini Nigeria wanakumbuka mauaji ya umati yaliyotekelezwa na jeshi la nchi hiyo dhidi ya wafuasi wa Harakati ya Kiislamu Nigeria katika mji wa Zaria jimboni Kaduna.
Habari ID: 3471770 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/12/14
TEHRAN (IQNA)- Jeshi la Nigeria limeua shahidi Waislamu 34 waliokuwa wakishiriki katika maadhimisho ya Arobaini ya Imam Hussein AS.
Habari ID: 3471725 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/10/31
TEHRAN (IQNA)-Shirika la haki za binadamu la Amnesty International limelaani hatua ya serikali ya Abuja ya kuwaweka kizuizini kinyume sheria Waislamu hasa wanachama wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria.
Habari ID: 3471654 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/08/31
TEHRAN (IQNA)- Wanachuo zaidi ya 200 waliohifadhi Qur’ani Tukufu kikamilifu wamehitimu katika Kituo cha Masomo ya Qur’ani cha Chuo Kikuu cha Bayero cha Jimbo la Kano (BUK).
Habari ID: 3471614 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/07/31
TEHRAN (IQNA) - Waislamu 8 wameuawa baada ya magaidi wakufurishaji wa kundi la Boko Haram kuushambulia msikiti na kuua watu wanane mashariki mwa Nigeria wakati wa Sala ya Alfajiri.
Habari ID: 3471605 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/07/24
TEHRAN (IQNA)-Magaidi wakufurishaji wa Boko Haram wameua askari kumi wa Niger katika hujuma kusini mashariki mwa nchi, karibu na mpaka na Nigeria.
Habari ID: 3471580 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/07/02
TEHRAN (IQNA)- Mtoto mwenye umri wa miaka mitano nchini Nigeria amefanikiwa kuhifadhi Qur'ani Tukufu kikamilifu na hivi karibuni alishika nafasi ya pili katika mashindano ya kimataifa ya Qur'ani nchini Saudi Arabia.
Habari ID: 3471579 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/07/01
TEHRAN (IQNA)- Washindi wa Mashindano ya 15 ya Qur'ani Tukufu ya Lagos nchini Nigeria wametunukiwa zawadi huku Waislamu nchini humo wakitahadahrishwa kuhusu athari mbaya za mitandao ya kijamii.
Habari ID: 3471541 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/06/03
TEHRAN- (IQNA)- Watu zaidi ya 60 wameuawa katika hujuma mbili za kigaidi zilizolenga msikiti na soko kaskazini mashariki mwa Nigeria.
Habari ID: 3471491 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/05/02
TEHRAN (IQNA) – Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria Sheikh Ibrahim Zakzaky ameituhumu Saudi Arabia kuwa inaliunga mkono kifedha Jeshi la Nigeria ili litekeleza mauaji ya Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini humo.
Habari ID: 3471484 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/04/27
TEHRAN (IQNA)-Wanaharakati katika maeneo mbali mbali duniani Jumapili wameshiriki katika maandamano ya kutangaza kufungamana kwao na Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria Sheikh Ibrahim Zakzaky ambaye anashikiliwa kinyume cha sheria nchini humo.
Habari ID: 3471467 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/04/16
TEHRAN (IQNA)- Wanaharakati wa Akademia katika Harakati ya Kiislamu ya Nigeria Jumanne wameandamana wakitaka serikali imiachilie kiongozi wao aliye kizuzizini Sheikh Ibrahim Zakzaky huku aachiliwe huru mara moja.
Habari ID: 3471461 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/04/11
TEHRAN (IQNA)- Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria ambaye kwa miaka miwili sasa anashikiliwa kinyume cha sheria, kwa mara ya kwanza jana alionekana hadharani alipohojiwa na waandishi habari.
Habari ID: 3471354 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/01/14
TEHRAN (IQNA)-Magaidi wakufurishaji wa Boko Haram wameuawa Waislamu 5,247 katika jimbo la Adamawa nchini Nigeria kati ya mwaka 2013 na 2017, ripoti ya shirika moja la Kiislamu imefichua.
Habari ID: 3471341 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/01/03
TEHRAN (IQNA) Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Masuala ya Kiislamu Nigeria amekosoa namna wanawake Waislamu wanaovaa Hijabu nchini humo wanavyosumbuliwa.
Habari ID: 3471315 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/18
TEHRAN (IQNA)- Waislamu wasiopungua 50 wameuawa katika hujuma ya kigaidi dhidi ya msikiti mmoja ulioko kaskazini mashariki mwa Nigeria.
Habari ID: 3471273 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/11/21
TEHRAN (IQNA)-Rais Muhammadu Buhari wa Nigeria ametakiwa amuachilie huru kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini humo Sheikh Ibrahim Zakzaky ambaye anashikiwa kwa miaka miwili sasa bila kufunguliwa mashtaka baada ya wanajeshi kuvamia makao yake na kumjeruhi vibaya.
Habari ID: 3471256 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/11/10