iqna

IQNA

IQNA – Kituo cha uelimishaji kwa lugha mbalimbali kimezinduliwa katika Msikiti Mkuu wa Makka, mji mtukufu.
Habari ID: 3480674    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/12

IQNA – Uchunguzi wa kina kuhusu hali ya hati za Kiarabu na Kiislamu zipatazo 40,000 katika maktaba tatu kubwa zaidi za umma nchini Ujerumani umefichua nukta za kuvutia kuhusu uhusiano wenye sura nyingi kati ya Ulaya, Mashariki ya Kati, na Afrika Kaskazini.
Habari ID: 3480537    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/13

Turathi
IQNA-Maktaba ya Umma ya Mfalme Abdulaziz (KAPL) mjini Riyadh, Saudi Arabia, inahifadhi nakala 400 adimu za MIsahafu kutoka zama mbalimbali za Kiislamu ambapo  nyingi ni za kati ya karne ya 10 hadi 13 Hijria.
Habari ID: 3480524    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/11

Turathi
IQNA-Miswada au maandiko ya kale ni hazina muhimu ya urithi wa binadamu. Majumba ya makumbusho, vyuo vikuu na vituo vya utafiti ni sehemu ambazo zimejaa maelfu ya maandiko ambayo yanasaidia kuelewa historia, sayansi, lugha, na sanaa mbalimbali hasa katika ustaarabu wa Kiislamu.
Habari ID: 3480523    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/11

IQNA – Katibu Mkuu wa Baraza la Utafiti wa Kiislamu linalohusiana na Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar, kwa mara nyingine amebainisha upinzani wa baraza hilo dhidi ya uchapishaji wa nakala za Qur'ani zenye rangi kadhaa nchini Misri. 
Habari ID: 3480503    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/06

IQNA – Raia mmoja wa Saudia ametumia miaka 40 kukusanya Misahafu adimu, akikusanya jumla ya nakala 214, kila moja ikiwa na historia yake ya kipekee.
Habari ID: 3480305    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/04

Turathi za Kiislamu
IQNA – Wataalamu katika Maktaba, Jumba la Makumbusho, na Kituo cha Nyaraka cha Idara ya Mfawidhi wa Haram ya Imam Ridha (AS) ambayo ni maarufu kama Astan Quds Razavi wamerekebisha kurasa 18,877 za nakala za Qur'ani au Misahafu na hati za kale katika kipindi cha miezi tisa iliyopita, amedokeza Seyyed Ali Tabatabai, mkuu wa urekebishaji wa nyaraka za kitamaduni katika shirika hilo.
Habari ID: 3480089    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/21

Utamaduni
IQNA - Maktaba ya Umma ya Mfalme Abdulaziz mjini Riyadh imezindua maonyesho yenye nakala 42 za Qur'ani 42 ambazo kila moja imeandikwa kwa kaligrafia ya Kiislamu na mapambo ya aina yake.
Habari ID: 3478529    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/17

Turathi
IQNA - Maonyesho ya maandishi yaliyozinduliwa katika Jimbo la Al-Ahsa la Saudi Arabia yanajumuisha nakala adimu za maandishi ya Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3478427    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/28

Harakati za Qur'ani
IQNA - Maafisa kadhaa kutoka Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri wamefanya mazungumzo na wanachama wa chama cha wachapishaji cha Misri ili kujadili njia za kutatua matatizo katika mchakato uchapishaji Misahafu au nakala za Qur’ani Tukufu nchini humo.
Habari ID: 3478222    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/20

Turathi za Kiislamu
MAKKA (IQNA) - Maktaba ya Msikiti Mkuu wa Makka nchini Saudi Arabia inaonyesha Misahafu (Nakala za Qur'ani) ya kipekee ya kale na pia michoro ambayo ina aya za Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3477252    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/08

TEHRAN (IQNA) - Sambamba na mwezi mtukufu wa Ramadhani, Jumba la Makumbusho ya Kitaifa la Iran yenye makao yake Tehran yanaandaa maonyesho ya Misahafu (nakala za Qur'ani) ya Kale.
Habari ID: 3476857    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/12

Mwezi wa Ramadhani
TEHRAN (IQNA) - Wizara ya Masuala ya Kiislamu ya Saudia imesema inapanga kusambaza nakala milioni moja za Qur'ani Tukufu katika lugha tofauti katika nchi 22.
Habari ID: 3476673    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/07

Harakati za Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Taasisi ya kutoa misaada ya Uturuki ilitoa zaidi ya nakala 11,000 za Misahafu (Qur'ani Tukufu) kwa Waislamu katika nchi tofauti za Kiafrika mwaka jana.
Habari ID: 3476451    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/23

Waislamu Pakistan
TEHRAN (IQNA) – Serikali ya Pakistani imetangaza kuwa ni lazima kupata Cheti cha Hakuna Pingamizi (NOC) kwa ajili ya kuagiza kutoka nje nchi Misahafu iliyochapishwa katika nchi zisizo za Kiislamu.
Habari ID: 3476255    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/16

Ibada ya Hija
Zaidi ya nakala nusu milioni za Qur'ani Tukufu zimesambazwa katika Msikiti Mtakatifu wa Makka, Al Masjid al Haram na maeneo matakatifu karibu na mji huo, Wizara ya Masuala ya Kiislamu ya Saudi Arabia imetangaza.
Habari ID: 3475471    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/07

TEHRAN (IQNA)- Watu wa Morocco wametoa wito kwa Wizara ya Wakfu na Masuala ya Kiislamu nchini humo irejeshe Misahafu katika misikiti ya nchi hiyo.
Habari ID: 3474805    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/14

TEHRAN (IQNA) – Maktaba ya Kitaifa ya Ufaransa ina mjumuiko mkubwa wa maandishi ya Kiislamu ambayo yamekuswanywa katika muda wa karne kadhaa.
Habari ID: 3474782    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/09

TEHRAN (IQNA)- Maonyesho ya Misahafu ya kale yanafanyika katika mjini Sharjah Umnoja wa FALME ZA Kiarabu (UAE) katika Chuo kikuu cha Sharjah, Tawi la Kalba.
Habari ID: 3474708    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/22

TEHRAN (IQNA)- Sheikh Sultan Bin Mohammed Al Qasimi, Mjumbe wa Baraza Kuu la Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) na Mtawala wa Sharjah, amekabidhi nakala nne nadra za nakala za Qur'ani Tukufu kwa Akademia ya Qur'ani Tukufu mjini Sharjah.
Habari ID: 3474220    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/23