TEHRAN (IQNA)- Jumuiya ya Kuhuisha Turathi za Kiislamu ya Kuwait imesambaza mamia ya Misahafu na vitabu vya Kiislamu nchini Comoro.
Habari ID: 3474150 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/02
TEHRAN (IQNA)- Chuo Kikuu cha Al Azhar kimewatunuku Qur'ani Tukufu wageni katika Maonyesho ya 52 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Cairo, Misri.
Habari ID: 3474072 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/05
TEHRAN (IQNA)- Raia mmoja wa Jordan amewatunuku watu wa Ghana nakala 1,400 za Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3474071 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/05
TEHRAN (IQNA)- Kumekuwa na ongezeko la asilimi 20 la Misahafu iliyochapishwa nchini Iran katika mwaka huu wa Kiirani wa Hijria Shamsia ulioanza Machi 21.
Habari ID: 3474034 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/23
TEHRAN (IQNA)- Misahafu 40 nadra na ya kale imewekwa katika maonyesho katika Maktaba ya Umma ya Kalba katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE).
Habari ID: 3473938 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/23
TEHRAN (IQNA)- Shirika moja la misaada ya Uturuki limesambaza nakala zaidi ya 700,000 za Qur'ani Tukufu kwa wanafunzi wa vyuo vya Kiislamu barani Afrika.
Habari ID: 3473770 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/30
TEHRAN (IQNA) - Idara ya Masuala ya Kidini Uturuki (Diyanet) imesambaza nakala milioni moja za Qur’ani katika nchi mbali mbali duniani.
Habari ID: 3473527 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/05
TEHRAN (IQNA) – Shirika moja la kutoa misaada nchini Uturuki limewatunuku watu wa Djibouti nakala za Qur'ani tukufu zipatazo 30,000.
Habari ID: 3473456 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/14
Ubalozi wa Saudia Arabia nchini Morocco umekosolewa vikali na Waislamu baada ya kuenea picha za kuvunjiwa heshima nakala za Qur'ani Tukufu katika ubalozi huo.
Habari ID: 3470597 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/03
Taasisi mbili za Uturuki zinashirikiana kusambaza nakala milioni za Qur’ani Tukufu katika nchi kadhaa za Kiafrika.
Habari ID: 3327631 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/13