iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA)- Sherehe za kuidhinishwa rasmi rais wa 8 wa Iran na Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu zimefanyika leo mchana katika Hussainiya ya Imam Khomeini (MA) mjini Tehran ambapo Ayatullah Khamenei, Kiongozi wa Mapinduzi na viongozi wengine wa ngazi za juu wa Mfumo wa Kiislamu wamehudhuria kwa kuzingatia kikamilifu maelekezo na miongozo ya Wazara ya Afya juu ya kujikinga na virusi vya Covid-19.
Habari ID: 3474153    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/03

TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema mipango na miradi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haipaswi kufungamanishwa na ushirikiano na nchi za Magharibi, kwani imedhihirika wazi wakati wa kipindi cha serikali inayomaliza muda wake hapa nchini kwamba, kuwategemea Wamagharibi hakuna faida yoyote.
Habari ID: 3474136    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/28

TEHRAN (IQNA) Wasomi na wanazuoni wakubwa wa Kiislamu wamekutaja kwa njia ya intaneti na kujadili nukta tofauti za ujumbe wa Hija mwaka huu uliotolewa na Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatollah Seyed Ali Khamenei
Habari ID: 3474124    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/24

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika ujumbe wa Hija
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema, muqawama ndio njia ya kufidia kubaki nyuma kimaendeleo nchi za Kiislamu na akasisitiza kuwa, eneo lote la Kiislamu ni uwanja wa kusimama kifua mbele muqawama kukabiliana na ukhabithi wa Marekani na washirika wake.
Habari ID: 3474113    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/19

TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei ametuma salamu za rambirambi kwa taifa la Palestina kutokana na kufariki dunia Katibu Mkuu wa Kamandi Kuu ya Harakati ya Wananchi ya Ukombozi wa Palestina (PFLP—GC), Ahmad Jibril.
Habari ID: 3474083    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/09

TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amemteua Hujjatul Islam wal Muslimin Gholamhossein Mohseni-Ejei kuwa Mkuu mpya wa Idara ya Mahakama ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3474061    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/01

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu mapema leo amesema kuwa wananchi wa Iran ndio washindi halisi wa uchaguzi wa rais uliofanyika mwezi huu katika mazingira ya maambukizi ya corona na matatizo ya kiuchumi na kwamba wamemfanya adui na vibaraka wake washindwe na kufeli.
Habari ID: 3474049    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/28

TEHRAN (IQNA)- Filamu ya matukio ya kweli inayojulikana kama "'Katika Magwanda ya Askari" iliyotarjumiwa kwa lugha ya Kiswahili imezinduliwa hivi karibuni nchini Tanzania.
Habari ID: 3474037    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/24

Kiongozi Muadhamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amepongeza hatua ya kujitokeza kwa wingi wananchi wa Iran katika uchaguzi mkuu wa jana Ijumaa na kusisitiza kuwa, 'washindi wakuu wa uchaguzi ni wananchi wenyewe, ambao azma yao thabiti haikuvunjwa moyo na ama janga (la Corona) au njama za kuwakatisha tamaa.
Habari ID: 3474021    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/19

Uchaguzi nchini Iran
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyed Ali Khamenei alikuwa wa kwanza kutumbukiza kura yake kwenye sanduku la kupigia kura mapema leo katika kituo cha Husainiya ya Imam Khomeini (MA) mjini Tehran.
Habari ID: 3474017    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/18

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa wanachi wa Iran wataonyesha fahari na heshima ya taifa kwa kushiriki kwa wingi katika uchaguzi wa rais utakaofanyika Ijumaa ijayo.
Habari ID: 3474012    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/17

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema taifa la Iran leo na mustakabali wa mbali linapaswa kulinda kumbukumbu ya Imam Khomeini-Mwenyezi Mungu Amrehemu.
Habari ID: 3473979    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/04

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amewataka wananchi wa Iran wapuuze ushawishi wa watu wanaojaribu kuwakatisha tamaa na wanaowaambia hakuna faida kushiriki katika uchaguzi.
Habari ID: 3473952    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/27

TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran Ayatullah Ali Khamenei amejibu barua za viongozi wa harakati za mapambano ya kukomboa Palestina za Hamas na Jihad Islami akisisitiza kuwa: Nyoyo zetu ziko pamoja nanyi katika uwanja wa mapambano yenu, na hatimaye mtapata ushindi.
Habari ID: 3473941    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/24

TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema, Wazayuni hawafahamu chochote zaidi ya lugha ya mabavu na akasisitiza kuwa, inapasa Wapalestina waongeze nguvu na muqawama wao ili kuwalazimisha watenda jinai hao wasalimu amri na kusimamisha hatua zao za kinyama.
Habari ID: 3473901    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/12

TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amemwandikia barua Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu kumjulisha matukio na mabadiliko yanayojiri katika mji wa Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu.
Habari ID: 3473894    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/10

TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema, harakati ya kuporomoka na kutoweka utawala wa Kizayuni imeanza na haitasimama; na akawahutubu Mujahidina wa Palestina kwa kuwaambia: "Endelezeni mapambano halali dhidi ya utawala ghasibu ili ulazimike kukubali kura ya maoni."
Habari ID: 3473886    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/07

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (IRGC) ni sababu muhimu zaidi na athirifu ya kuzuia diplomasia legevu na isiyo na irada katika eneo la Asia Magharibi.
Habari ID: 3473871    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/03

TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa mkono wa pole na kueleza juu ya kusikitishwa kwake na kifo cha Brigedia Jenerali Mohammad Hosseinzadeh Hijazi, Naibu Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ambaye ameaga dunia usiku wa kuamkia leo akiwa na umri wa miaka 65, kutokana na mshtuko wa moyo.
Habari ID: 3473829    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/19

Kiongozi Muadhamu katika ujumbe kwa mnasaba wa Siku ya Jeshi nchini Iran
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametuma ujumbe maalumu kwa mnasaba wa maadhimisho ya Siku ya Jeshi nchini Iran.
Habari ID: 3473824    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/17