iqna

IQNA

IQNA-Rais mpya wa Gambia ametangaza kuwa nchi yake haitajulikana tena kama Jamhuri ya Kiislamu ya Gambia ikiwa ni katika kutekeleza ahadi ya kampeni zake za uchaguzi.
Habari ID: 3470819    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/01/29