TEHRAN (IQNA)- Harakazi za mapambano ya Kiislamu Iraq ambazo zimekuwa mstari wa mbele katika vita dhidi ya ugaidi zimelaani vikali, hatua ya uhasama ya mtawala wa Marekani Donald Trump ya kuliweka Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) nchini Iran katika orodha ya makundi ya kigaidi.
Habari ID: 3471910 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/11
TEHRAN (IQNA)- Fainali za Mashindano ya 36 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran zimeanza rasmi Jumatano alasiri katika halfa iliyofanyika mjini Tehran.
Habari ID: 3471909 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/10
TEHRAN (IQNA) – Nchi 27 zitawakilishwa katika Mashindano ya 6 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Iran maalumu kwa ajili ya wanafunzi wa shule.
Habari ID: 3471905 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/08
TEHRAN (IQNA) – Washiriki wa Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wameanza kuwasili nchini.
Habari ID: 3471904 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/08
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, Marekani inapinga mchakato wa demokrasia nchini Iraq.
Habari ID: 3471903 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/07
Kiongozi wa Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwepo Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika harakati ya Tauhidi (Kumpwekesha Mwenyezi Mungu) ni chanzo kikuu cha uhasama wa Marekani na vibaraka wake kama vile ukoo wa Aal Saud.
Habari ID: 3471897 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/03
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, katika ujumbe kwa munasaba wa kuanza mwaka mpya wa 1398 Hijiria Shamsia, ametuma salamu za pongezi za Nowuruz (Nairuzi) na pia salamu kwa munasaba Wilada ya Imam Ali AS kwa wananchi wa Iran na hasa familia za mashahidi na majeruhi wa vita na amelitakia taifa la Iran mwaka wenye furaha, saada, afya ya kimwili na mafanikio ya kimaada na kimaanawi na ameutaja mwaka mpya kuwa mwaka wa "kustawi uzalishaji".
Habari ID: 3471884 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/03/21
Rais Rouhani katika ujumbe wa Nowruz
TEHRAN (IQNA) - Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran mapema Alhamisi ametuma ujumbe kwa kunasaba wa kuanza mwaka mpya wa 1398 Hijria Shamsiya na kusema mwaka 1397 ulikuwa mwaka wa mafanikio makubwa ya taifa la Iran katika nyuga mbali mbali na kuongeza kuwa, kwa yakini taifa la Iran litapata ushindi na litavuka matatizo yaliyopo.
Habari ID: 3471883 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/03/21
TEHRAN (IQNA)-Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali hujuma za kigaidi zilizolenga misikiti miwili jana mjini Christchurch New Zealand na kupelekea Waislamu wasiopungua 49 kuuawa shahidi wakiwa katika Sala ya Ijumaa.
Habari ID: 3471878 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/03/16
TEHRAN (IQNA) – Waziri wa Elimu wa Iran Sayyid Mohammad Bathayi amesema takribani wanafunzi zaidi ya milioni mbili nchini Iran wanashiriki darsa za kuhifadhi Qur'ani.
Habari ID: 3471871 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/03/11
Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuhusu kuwepo uthabiti na amani nchini Myanmar. Aidha amesisitiza kuwa wakimbizi Waislamu wa jamii ya Rohingya warejeshwe haraka na kwa usalama katika makazi yao nchini Myanmar.
Habari ID: 3471869 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/03/09
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Khamenei amesisitiza umuhimu wa utunzaji misitu na kusema umuhimu wa kupanda miti ni jambo ambalo linapaswa kuhimizwa ili liwe utamaduni wa umma.
Habari ID: 3471866 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/03/07
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema wakati alipoonana na kuzungumza na Rais Bashar al Assad wa Syria hapa mjini Tehran Jumatatu kwamba, Iran inalihesabu suala la kuiunga mkono Syria kuwa ni sawa na kuunga mkono muqawama (mapambano ya Kiislamu) na inaona fakhari kwa jambo hilo.
Habari ID: 3471853 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/02/26
TEHRAN (IQNA)- Jumuiya ya Kimataifa ya Maulama wa Kiislamu imelaani vikali mkutano wa hivi karibuni baina ya maafisa wa ngazi za juu wa nchi za Kiarabu na Waziri Mkuu wa Utawala wa Kizayuni wa Israel huko Warsaw, Poland.
Habari ID: 3471846 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/02/19
TEHRAN (IQNA) Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Jumatano ametoa ujumbe muhimu sana kwa taifa la Iran kwa jina la "Hatua ya Pili ya Mapinduzi" kwa mnasaba wa maadhimisho ya miaka 40 ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu.
Habari ID: 3471841 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/02/14
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, utawala wa Marekani ni nembo ya ushari, utumiaji mabavu, kuanzisha migogoro na kuzusha vita.
Habari ID: 3471834 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/02/09
TEHRAN (IQNA)- Katika wakati huu wa kukaribia maadhimisho ya miaka 40 ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei mapema leo asubuhi mjini Tehran amefanya ziara katika Haram toharifu ya Imam Khomeini MA, mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu na mbali na kuswali katika Haram hiyo na kumsomea Faatiha, amemuombea dua za kheri mwanachuoni huyo mkubwa wa zama hizi.
Habari ID: 3471825 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/01/30
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei ametilia mkazo kuutazama kila mara kwa jicho baya ushauri wa Wamagharibi, na akafafanua kwa kusema: Nchi za Magharibi, ambazo leo hii zimepata maendeleo mengi katika elimu na sayansi mpya, zimetenda jinai nyingi pia dhidi ya mataifa katika zama zote za historia.
Habari ID: 3471817 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/01/24
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameashiria kuendelea kudhoofika mpaka leo vyombo vya mikakati na mahesabu vya Marekani ni ukweli halisi wa mambo na akafafanua kwa kusema: "Baadhi ya viongozi wa Marekani hujifanya na hutaka waonekane wendawazimu, tab'an mimi hili sikubaliani nalo, lakini lililo hakika, wao ni "wapumbavu wa daraja la kwanza".
Habari ID: 3471802 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/01/10
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, Palestina itaendelea kuwa taifa lenye nguvu na kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu, katika kipindi kisicho mbali sana taifa hilo litaweza kupata ushindi wa mwisho.
Habari ID: 3471792 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/12/31