Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisistiza kuwa makundi yatendayo jinai ya kitakfiri, kwa mara nyingine yametekeleza hujuma kwa woga na kwa njia ya kuogofya na hivyo kuonyesha uso wao khabithi na wa kishetani kwa wote
Habari ID: 3470700 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/26
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, hatua ya Marekani kurefusha vikwazo dhidi ya Iran kwa miaka 10 zaidi, bila ya shaka yoyote ni uvunjaji wa makubaliano ya nyuklia yanayojulikana kwa jina maarufu la JCPOA.
Habari ID: 3470694 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/23
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameashiria matukio machungu na ya kusikitisha katika eneo na nafasi ya baadhi ya madola makubwa katika kulazimisha ukosefu wa uthabiti na vita katika mataifa.
Habari ID: 3470691 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/22
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran daima imekuwa ikishuhudia uadui kutoka kwa vyama viwili vikuu vya Marekani.
Habari ID: 3470680 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/16
IQNA-Khatibu wa Swala ya Ijumaa katika mji wa Tehran amesema kuwa taifa la Iran halitauamini utawala wowote unaoingia madarakani huko Marekani.
Habari ID: 3470670 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/12
Kwa mwaka wa pili mfululizo
Maonyesho ya 22 ya Kimataifa ya Vyombo vya Habari Iran yamefungwa huku kibanda cha IQNA kikitangazwa kuwa kibanda bora zaidi katika masuala ya kidini.
Habari ID: 3470669 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/11
Spika wa Bunge la Iran
IQNA-Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa daima Syria imekuwa katika mstari wa mbele wa muqawama na mapambano dhidi ya ugaidi na Uzayuni.
Habari ID: 3470663 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/08
IQNA-Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Iran amelaani hujuma za kigaidi iliyopelekea watu wasiopungua 24 kuuawa katika miji ya Samarra na Tikrit nchini Iraq siku ya Jumapili.
Habari ID: 3470660 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/07
IQNA-Saudi Arabia inaendeleza vita vya siri dhidi yay a Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na, Ushia na Waislamu wa madhehebu ya Shia kupitia akaunti bandia za mitandao ya kijamii, imefichuliwa.
Habari ID: 3470656 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/06
IQNA-Rais Hassan Rouhani Jumamosi ametembelea Maonyesho ya 22 ya Vyombo vya Habari hapa mjini Tehran.
Habari ID: 3470655 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/05
Kwa munasaba wa kutekwa Pango la Ujasusi (Ubalozi wa Marekani)
IQNA-Wananchi wa matabaka mbali mbali Iran kuonyesha dhidi ya madola ya Kiistikbari hasa Marekani huku wakitoa nara za 'Mauti kwa Marekani'.
Habari ID: 3470649 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/03
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa moyo na fikra za kimapinduzi, ushujaa, ujasiri na uchapakazi, kuona mbali, ubunifu, kuwa na matarajio ya mustakbali mwema, kutoogopa na kutosalimu amri mbele ya adui vitatatua matatizo ya nchi hii.
Habari ID: 3470648 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/02
IQNA-Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeazimiakuimarisha uhusiano wake wa kidini na Ghana.
Habari ID: 3470647 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/02
IQNA-Maafisa wa Jeshi la Majini la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wameshiriki katika Sala ya Ijumaa katika mji mkubwa wa Tanzania, Dar es Salaam.
Habari ID: 3470641 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/29
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa ugaidi ni miongoni ma masaibu yanayoiumiza sana jamii ya mwanadamu.
Habari ID: 3470637 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/27
IQNA-Ustadh Bashir Jazairi, msomi bingwa katika vyuo vikuu vya Iran, Iraq na Algeria ambaye pia alikuwa mtangazaji wa radio na televisheni ameaga dunia mjini Tehran akiwa na umri wa miaka 80 kufuatia mshutuko wa ubongo.
Habari ID: 3470633 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/24
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, dhana iliyotawala kwamba Marekani ni nchi isiyoweza kushindwa, ilikuwa ni kosa kubwa na kwamba makosa ya kujirudia ya Marekani katika eneo yameifanya ishidwe.
Habari ID: 3470629 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/23
Kongamano la Kwanza la Kuchunguza Fikra za Qur'ani za wasomi wa Iran na Senegal limepangwa kufanyika mwezi ujao wa Novemba katika mji wa Thiès magharibi mwa Senegal.
Habari ID: 3470627 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/22
Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
Khatibu wa Sala ya Ijumaa mjini Tehran hatua ya Saudia kuwaua watoto nchini Yemen ni sawa na jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel ambao umekuwa ukiwaua watoto Wapalestina huko Ghaza na pia nchini Lebanon.
Habari ID: 3470625 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/21
Balozi wa Iran nchini Tanzania anayeondoka
Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Tanzania ambaye muda wake umemalizika amesema, kadhia ya kukombolewa Quds Tukufu ni kadhia muhimu zaidi katika Ulimwengu wa Kiislamu na miongoni mwa watetezi wa uhuru duniani.
Habari ID: 3470622 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/20