iqna

IQNA

Waziri wa Mambo ya nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa jibu kwa matamshi ya kijahili na dharau yaliyotolewa hivi karibuni na mufti mkuu wa Saudi Arabia.
Habari ID: 3470553    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/09/08

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema utawala khabithi wa ukoo wa Aal Saud haustahiki kusimamia Haram Mbili Takatifu za Waislamu.
Habari ID: 3470552    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/09/07

Ayatullah Udhma Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametuma Ujumbe muhimu kwa Waislamu duniani na hasa Mahujaji wa Nyumba tukufu ya Allah mwaka huu 1437 Hijria). Ifuatayo ni matini kamili ya ujumbe huo.
Habari ID: 3470550    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/09/05

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Khamenei amewasilisha sera jumla kuhusu familia ili zitekelezwe na vyombo vyote husika nchini Iran.
Habari ID: 3470547    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/09/03

Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekosoa madai yasiyo na msingi ya Saudi Arabia dhidi yake na kutoa wito kwa watawala wa Riyadh kutoruhusu 'ndoto' kutawala vitendo vyao Mashariki ya Kati.
Habari ID: 3470546    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/09/03

Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
Khatibu wa Sala ya Ijumaa mjini Tehran amesema kuwa, watu wa Iran kamwe hawatasahu maafa ya mauti ya kuogofya ya Mina katika msimu wa Hija mwaka jana.
Habari ID: 3470545    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/09/02

Kituo cha Utamduni cha Iran nchini Nigeria kinashirikiana na al-Afrikiy Islamic TV kuandaa mashindano ya Qur’ani katika nchi hiyo ya Afrika Magharibi.
Habari ID: 3470540    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/08/29

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, msikiti unapaswa kuwa kituo cha kumjenga mwanadamu kukabiliana na adui, kuujenga moyo kimaanawi na kidunia, kuongeza muono na kuandaa mazingira kwa ajili ya kuleta ustaarabu wa Kiislamu.
Habari ID: 3470535    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/08/21

Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Misri zimepata medali zao za kwanza za mashindano ya taekwondo ya wanawake katika michezo ya Olimpiki ya Rio, 2016.
Habari ID: 3470534    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/08/20

Wanaharakati watatu katika nyuga za dini, elimu na uchapishaji wanatazamiwa kushiriki katika Tamasha la 14 la Kimataifa la mjukuu wa Mtume SAW, Imam Ridha AS.
Habari ID: 3470513    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/08/10

Wanafunzi Wakristo nchini Zimbabwe wameshiriki katika warsha ya siku moja kuhusu Uislamu.
Habari ID: 3470510    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/08/09

Kituo cha utamaduni cha Iran nchini Senegal kimeandaa warsha kuhusu kusoma Qur’ani kwa tajwid katika mji mkuu wa Senegal, Dakar.
Habari ID: 3470506    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/08/08

Mkutano wa tatu wa Siku ya Haki za Binadamu za Kiislamu na Heshima ya Mwanadamu umefanyika mjini Tehran kwa kuhudhuriwa na Mkuu wa Vyombo vya Mahakama Iran, Ayatullah Amolo Larijani.
Habari ID: 3470502    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/08/07

Duru ya tano ya mashindano ya kimatiafa ya Qur’ani ya wanafunzi wa shule yatafanyika nchini Iran mwezi Februari mwaka 2017.
Habari ID: 3470493    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/08/04

Tamasha la Kimataifa la mjukuu wa Mtume SAW, Imam Ridha AS, litafanyika nchini Iran na kushirikisha nchi 77 mwaka huu.
Habari ID: 3470491    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/08/03

Maonyesho ya kwanza na ya pamoja ya Qur’ani ya Iran na Senegal yamefanyika katika Msikiti wa Jamia wa Dakar, mji mkuu wa Senegal.
Habari ID: 3470487    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/08/02

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu asema mapatano ya nyuklia kati ya Iran na nchi za kundi la 5+1 maarufu kwa kifupi JCPOA ni tajiriba inayoonesha kutokuwa na matunda wala faida kufanya mazungumzo na Marekani .
Habari ID: 3470486    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/08/01

Mashindano ya 6 ya Kimataifa ya Qur’ani ya Wanachuo Waislamu yatakayofanyika Iran yanatazamiwa kuwa na washiriki kutoka nchi Zaidi ya 50.
Habari ID: 3470481    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/07/29

Mwakilishi wa Faqihi Mtawala katika masuala ya Hija na Ziara za Kidini Iran
Mwakilishi wa Faqihi Mtawala katika masuala ya Hija na Ziara za Kidini Iran amesisitiza kuhusu Diplomasia ya Hija baina ya nchi zote za Kiislamu hasa Iran na Pakistan.
Habari ID: 3470467    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/07/21

Katibu wa Baraza la Ustawi wa Utamaduni wa Qur’ani Iran amesema Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani ya Wanachuo Waislamu ni tukio la kipekee katika Ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 3470445    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/07/10