iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA)-Duru ya 35 ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yatafanyika mwezi Aprili,2018, waandalizi wamesema.
Habari ID: 3471331    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/29

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)-Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, Marekani ndio utawala fisadi na dhalimu zaidi ulimwenguni.
Habari ID: 3471327    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/28

TEHRAN (IQNA)-Asilimia 12.5 ya watu katika kila mkoa nchini Iran wanatazamiwa kuhifadhi Qur'ani kikamilifu ifikapo mwaka 2025, kwa mujibu wa mkakati uliowekwa.
Habari ID: 3471324    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/25

Rais Hassan Rouhani
TEHRAN (IQNA)- Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa Iran iko tayari kushirikiana na nchi za Kiislamu bila ya masharti yoyote kwa ajili ya kuitetea Quds tukufu na kusema adui mkubwa wa Wayahudi si Waislamu wala Waarabu bali ni mradi hatari sana wa Wazayuni.
Habari ID: 3471309    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/14

TEHRAN (IQNA)-Zaidi ya wanawake 7,000 wanashiriki katika awamu ya 11 ya Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani kwa wanawake mjini Tehran.
Habari ID: 3471301    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/09

TEHRAN (IQNA)-Mkutano wa 31 wa Kimataifa wa Umoja wa Kiislamu umepangwa kufanyika wiki ijayo katika mji mkuu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Tehran kwa kuhudhuriwa na wageni 300 kutoka nchi 93 duniani.
Habari ID: 3471288    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/11/30

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu imesimama kidete kukabiliana na njama za kambi ya ubeberu na Uzayuni za kutaka kuzusha vita na mivutano baina ya Waislamu na itaendelea kukabiliana na kambi hiyo na kupata ushindi katika mpambano huo kwa idhini ya Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3471277    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/11/24

Tehran (IQNA)-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitizia mshikamano wa viongozi kwa wahanga wa tetemeko la ardhi katika ngazi ya utendaji sambamba na kuendelea kutolewa misaada kwa watu hao ili kuweza kupunguza matatizo yao.
Habari ID: 3471264    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/11/15

TEHRAN (IQNA)-Kikao cha Qur'ani Tukufu na vijana Waislamu duniani kinafanyika katika mji wa Shiraz kusini mwa Iran.
Habari ID: 3471239    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/10/31

Ayatullah Sayyid Ali Khamenei
TEHRAN (IQNA)-Amirijeshi Mkuu wa vikosi vyote vya ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, uwezo na nguvu za kiulinzi za Iran si kitu cha kujadiliwa kabisa kama ambavyo zana zozote za ulinzi na kitu chochote kile kinacholeta nguvu za taifa la Iran si kitu cha kufanyiwa muamala wa aina yoyote ile.
Habari ID: 3471230    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/10/25

TEHRAN (IQNA)-Mkuu wa masuala ya kigeni wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas amesema kuwa, harakati hiyo ina hamu ya kustawisha uhusiano wake na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika nyuga zote.
Habari ID: 3471229    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/10/24

Kiongozi Muadhamu katika mkutano wa Rais wa Uturuki:
TEHRAN (IQNA)-Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Jumatano alionana na Rais Recep Tayyip Erdogan na ujumbe alioandamana nao hapa mjini Tehran.
Habari ID: 3471205    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/10/05

TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, amekwenda katika Msikiti wa Imam Husain AS hapa Tehran na kuusomea Faatiha mwili mtoharifu wa shahid Mohsen Hojaji, aliyeuliwa shahidi na magaidi wa Daesh au ISIS wakati akilinda Haram ya mjukuu wa Bwana Mtume Muhammad SAW, Bibi Zaynab al Kubra AS nchini Syria.
Habari ID: 3471195    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/09/27

Katika Hotuba Umoja wa Mataifa
TEHRAN (IQNA)-Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amehutubu katika Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa na kuitahadharisha Marekani kuhusu hatua yoyote ya kukiuka mapatano ya nyuklia ya Iran.
Habari ID: 3471185    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/09/21

TEHRAN (IQNA)-Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Al-Mustafa SAW kimetangaza kuanza kusajili majina ya wanachuo wa kigeni nchini Iran watakaoshiriki katika Olimpiadi ya 23 ya Kimataifa ya Qur’ani na Hadithi.
Habari ID: 3471181    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/09/19

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amekosoa kimya na kutochukua hatua jumuiya za kimataifa na wanaojigamba kuwa watetezi wa haki za binadamu kuhusiana na matukio ya maafa yanayojiri Myanmar.
Habari ID: 3471169    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/09/12

TEHRAN (IQNA)- Rais Hassan Rouhani wa Iran amesisitiza kuhusu ulazima wa kusaidiwa Waislamu wa jamii ya Rohingya wanaokandamizwa na kuuawa kwa umati nchini Myanmar.
Habari ID: 3471163    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/09/08

Watu zaidi ya milioni 15 kote Iran wameshiriki katika mpango wa kitaifa wa kusoma Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3471152    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/09/02

TEHRAN (IQNA)-Wafungwa 21,000 wanaoshikiliwa katika magereza ya Iran wamehifadhi Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3471126    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/08/16

TEHRAN (IQNA)-Kituo cha utamaduni cha Iran nchini Zimbabwe kimeandaa warsha ya “Uislamu na Ukristo” mjini Harare.
Habari ID: 3471124    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/08/16