iqna

IQNA

IQNA-Viongozi wa jamii ya Waislamu Marekani wamelaani vikali hujuma ya kigaidi katika jimbo la Ohio, ambapo mwanafunzi mmoja wa Marekani mwenye asili ya Somalia aliwashambulia kwa kisu wanachuo wenzake.
Habari ID: 3470704    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/29

Spika wa Bunge la Iran
IQNA-Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa daima Syria imekuwa katika mstari wa mbele wa muqawama na mapambano dhidi ya ugaidi na Uzayuni.
Habari ID: 3470663    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/08

Rais wa Iran
Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuna ulazima wa kutumia njia za kiutamaduni na kiuchumi kukabiliana na ugaidi .
Habari ID: 3470617    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/17

Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekosoa madai yasiyo na msingi ya Saudi Arabia dhidi yake na kutoa wito kwa watawala wa Riyadh kutoruhusu 'ndoto' kutawala vitendo vyao Mashariki ya Kati.
Habari ID: 3470546    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/09/03

Mwandishi mwenye asili ya Somalia amebaini kuwa vyombo vya habari vya Magharibi hupuuza na kutozingaita habari kuhusu Waislamu wanaouawa katika vitendo vya kigaidi hasa nchini Somalia.
Habari ID: 3470515    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/08/11

Idadi kubwa ya watu wameuawa katika mlipuko wa bomu uliolenga hospitali kuu ya mji wa Quetta, kusini magharibi mwa Pakistan.
Habari ID: 3470508    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/08/08

Watu wasiopungua 84 wameripotiwa kuuawa katika hujuma ya kigaidi katika mji wa Nice kaskazini mwa Ufaransa.
Habari ID: 3470455    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/07/15

Mwanafunzi mmoja wa chuo kikuu Uingereza ametoa taarifa na kusema kundi la kigaidi la ISIS au Daesh halina uhusiano wowote na Uislamu.
Habari ID: 3470448    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/07/12

Misikiti kadhaa mjini London imepokea vitio vya kigaidi kutoka kwa makundi yanayoamnikiwa kuwa ya wabauguzi wa mrengo wa kulia huku vitendo vya chuki dhidi ya Uislamu vikiongezeka nchini humo.
Habari ID: 3470442    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/07/09

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiisalmu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema chanzo kikuu cha vita, ukosefu wa usalama katika eneo la Kusini mwa Asia na Ulimwengu wa Kiislamu ni madola makubwa ya kiistikbari yakiongozwa na Marekani.
Habari ID: 3470437    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/07/06

Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran
Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema Marekani ndio muungaji mkono mkubwa zaidi wa magaidi wa kundi la ISIS au Daesh na makundi mengine ya kigaidi duniani.
Habari ID: 3470360    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/05

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, amesema nchi za Waislamu zinapaswa kupewa jukumu la vita dhidi ya ugaidi kwani ugaidi unanasibishwa kimakosa na Uislamu.
Habari ID: 3470332    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/24

Sheikhe Mkuu wa Al Azhar
Sheikhe Mkuu wa Chuo cha al Azhar nchini Misri, Dk Ahmad Muhammad al Tayyib amesema kuwa, kwa mujibu wa aya ya 32 ya Suratul Maida ya Qur'ani Tukufu, dini ya Kiislamu inapiga marufuku kumshambulia mwanadamu yeyote kutoka dini yoyote ile.
Habari ID: 3470327    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/21

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema ili kupambana na hatari ya ugaidi na muamala wa kindumakuwili wa madola makubwa, kuna haja kwa nchi za Kiislamu kuongeza ushirikiano wao katika fremu ya siasa za kutimia akili na za kimantiki.
Habari ID: 3470242    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/04/11

Ban Ki-moon
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon, amesema Waislamu ni waathirika wakuu wa ugaidi duniani.
Habari ID: 3470236    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/04/09

Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani mashambulio ya hivi karibuni za kigaidi katika mji wa Lahore Pakistan na karibu na Baghdad mji mkuu wa Iraq.
Habari ID: 3470218    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/03/28

Gazeti la Guardian
Waislamu nchini Uingereza wamepuza mpango wa serikali ya nchi hiyo wa kupambana na ugaidi na wametangaza kuususia.
Habari ID: 3469676    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/12/26

Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa Uislamu ni dini ya upendo na amani na siku zote inapinga na kukataza utumiaji mabavu na uchupaji mipaka.
Habari ID: 3462297    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/12/12

Idadi ya raia wa kigeni waliojiunga na makundi ya magaidi wakufurishaji nchini Syria wameongezeka maradufu, amesema mkuu wa zamani wa shirika la kijasusi la Uingereza.
Habari ID: 3461648    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/12/09

Balozi wa Iran katika Umoja wa Mataifa Gholam Ali Khoshrou amesema barua ya hivi karibuni ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu kwa vijana wa Magharibi iliwasilisha matazamo halisi wa Uislamu.
Habari ID: 3459723    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/12/04