iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA) - Chama tawala cha ANC cha Afrika Kusini kimetoa taarifa rasmi na kulaani hujuma ya Jeshi la Markeani ambayo ilipelekea kuuawa shahidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani, Kamanda wa Kikosi cha Qods cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC)
Habari ID: 3472346    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/01/06

TEHRAN (IQNA)- Waumini wasiopungua 16 wameuawa baada ya watu waliobeba silaha kushambulia msikiti mmoja kaskazini mwa Burkina Faso.
Habari ID: 3472171    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/10/14

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullha Sayyed Ali Khamenei ametuma salamu za rambirambi kwa familia za mashahidi wa tukio chungu la hujuma ya kigaidi katika mji wa Ahvaz kusini mwa Iran leo asubuhi.
Habari ID: 3471686    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/09/22

TEHRAN (IQNA)- Watu wasiopungua 17 wameuawa Jumapili kufuatia mlipuko wa bomu katika msikiti ambao ulikuwa pia unatumika kama kituo cha kuwasajili wapiga kura katika mkoa wa Khost kusini mashariki mwa Afghanistan.
Habari ID: 3471499    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/05/07

TEHRAN- (IQNA)- Watu zaidi ya 60 wameuawa katika hujuma mbili za kigaidi zilizolenga msikiti na soko kaskazini mashariki mwa Nigeria.
Habari ID: 3471491    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/05/02

TEHRAN (IQNA)- Kituo kipya cha Kiislamu kimefunguliwa katika mjini Mombasa, Kenya katika mtaa wa Majengo kwa lengo la kukabiliana na misimamo mikali ya kidini.
Habari ID: 3471428    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/03/14

Mkutano wa Idhaa za Qur'ani Duniani
TEHRAN (IQNA)-Mkurugenzi wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kiislamu ya Utangazaji (IBU) Mohamed Salem Walad Boake amesema idhaa za Qur'ani duniani zinaweza kuwa kati ya njia muafaka zaidi za kukabiliana na wimbi la misimamo mikali ya kidini.
Habari ID: 3471377    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/02/01

TEHRAN (IQNA)-Waislamu nchini Marekani wamelaani hujuma ya kigaidi iliyojiri Jumanne mjini New York katika mtaa wa Manhattan na kupelekea watu 8 kupoteza maisha.
Habari ID: 3471241    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/11/01

TEHRAN (IQNA)-Waislamu wameuawa wameuawa baada ya gaidi kujilipua ndani ya msikiti kaskaini mwa Cameroon, ambapo maafisa wa usalama wanashuku kundi la kigaidi la Boko Haram limehusika na hujuma hiyo.
Habari ID: 3471172    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/09/14

IQNA (TEHRAN)- Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imetangaza kuwa, lengo la vitendo vinavyofanywa na kundi la kigaidi la ISIS ni kuchafua haiba na sura halisi ya Uislamu.’
Habari ID: 3471129    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/08/19

TEHRAN (IQNA)-Kundi la kigaidi la Taliban limedai kuhusika na hujuma iliyopelekea watu 35 kuuawa wameuawa na makumi ya wengine kujeruhiwa Jumatatu katika shambulio la kigaidi Kabul, mji mkuu wa Afghanistan.
Habari ID: 3471085    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/25

TEHRAN (IQNA)-Maimamu wa misikiti barani Ulaya wameanzisha kampeni amani kwa kutemeblea miji iliyoshambulia na magaidi kwa jina la dini huku wakilaani ugaidi na misimamo mikali.
Habari ID: 3471057    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/09

TEHRAN (IQNA)-Maelfu ya watu, wengi wao wakiwa Waislamu, wameandamana katika mji wa Cologne magharibi mwa Ujerumani kupinga ugaidi unaotendwa kwa jina la Uislamu.
Habari ID: 3471023    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/06/18

Hujuma za kigaidi za kundi la ISIS mjini Tehran Jumatano zimeendelea kulaania kimataifa.
Habari ID: 3471013    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/06/08

TEHRAN (IQNA)-Magaidi wakufurishaji wa Taliban wamekiri kutekeleza hujuma iliyolenga msikiti nchini Pakistan na kuua watu 24 na wengine zaidi ya 90 kujeruhiwa.
Habari ID: 3470914    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/03/31

TEHRAN (IQNA)-Wanawake Waislamu mjini London wamekusanyika katika Daraja la Westminster na kuunda mnyororo wa binadamu (human chain) kubainisha kufungamana kwao na waathirika wa hujuma ya kigaidi wiki iliyopita katika eneo hilo.
Habari ID: 3470911    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/03/28

Askofu Mkuu nchini Nigeria
TEHRAN (IQNA)-Askofu Mkuu wa Nigeria amesisitiza udharura wa kufanyika mazungumzo kati ya wafuasi wa dini za mbinguni na kusema kuwa, ni muhimu sana kuzitofautisha na dini ya Uislamu fikra za kigaidi kama zile za kundi la Boko Haram.
Habari ID: 3470908    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/03/26

IQNA-Imamu wa msikiti mmoja katika mji mkuu wa Iraq, Baghdad amepigwa risasi na kuuawa magharibi mwa mji huo.
Habari ID: 3470877    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/03/03

Sayyed Hassan Nasrallah
IQNA: Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amatoa wito wa kuwepo umoja baina ya nchi mbali mbali duniani ili kukabiliana na tishio la kundi la kigaidi la ISIS au Daesh.
Habari ID: 3470732    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/10

Uchunguzi wa Maoni
IQNA: Uchunguzi wa maoni umebaini kuwa Waislamu wengi Uingereza wanaamini kuwa serikali ya Marekani ndiyo iliyotekeleza hujuma za kigaidi nchini humo Septemba 11, 2001.
Habari ID: 3470715    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/04