TEHRAN (IQNA)- Arsenal ambayo ni Timu maarufu ya Ligi Kuu ya Soka Uingereza (EPL) itamtimua mchezaji Muislamu Mohamed Elneny kutokana na misimamo yake ya kuunga mkono ukombozi wa Palestina.
Habari ID: 3474586 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/21
TEHRAN (IQNA)-Klipu ya video imeenea katika mitandao ya kijamii ikumuonyesha mchezaji wa zamani wa Timu ya Soka ya Arsenal ya Uingereza, Vassiriki Abou Diaby akisoma Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3471231 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/10/26