Aidha Bi. Zeinab Mohammadnejad atawakilisha Iran katika mashindano ya
kimataifa ya Qur'ani yatakayofanyika mjini Tehran mwezi Aprili.
Mashindano hayo ya Qur'ani ya wanawake mjini Tehran yatafanyika samamba na Mashindano ya 34 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Zenye maoni mengi zaidi