IQNA – Washiriki wa kitengo cha  wanawake  katika Mashindano ya 48 ya Kitaifa ya Qur’ani Tukufu nchini Iran waliendelea kuonesha umahiri wao siku ya tatu ya mashindano hayo, wakishindania nafasi za juu.
                Habari ID: 3481412               Tarehe ya kuchapishwa            : 2025/10/25
            
                        
        
        IQNA – Washiriki wa mkutano wa kimataifa wa  wanawake  uliofanyika Tehran wametoa wito wa kususiwa kwa kina kwa utawala wa Kizayuni, wakilaani vita vya mauaji ya halaiki vinavyoendelea dhidi ya Gaza.
                Habari ID: 3481210               Tarehe ya kuchapishwa            : 2025/09/09
            
                        
        
        IQNA – Idara ya Masuala ya Wanawake ya Taasisi ya Haram Tukufu ya Imam Ali (AS) imeandaa mipango kabambe ya kuwahudumia wafanyaziyara wa kike katika msimu huu wa ziara ya Arbaeen.
                Habari ID: 3481032               Tarehe ya kuchapishwa            : 2025/08/02
            
                        
        
        IQNA-Australia imeingia katika kipindi kigumu cha chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia), hali iliyoibuka kwa kasi tangu kuanza kwa vita vya kikatili vya utawala wa Israel dhidi ya Gaza.
                Habari ID: 3481020               Tarehe ya kuchapishwa            : 2025/07/30
            
                        
        
        IQNA-Kozi ya kiangazi ya  wanawake  ya kuhifadhi Qur’ani Tukufu katika Msikiti Mtukufu wa Masjid al-Haram, Makkah, imekamilika kwa mafanikio, ambapo washiriki zaidi ya 1,600 wametimiza masharti ya programu hiyo.
                Habari ID: 3481013               Tarehe ya kuchapishwa            : 2025/07/28
            
                        
        
        IQNA – Kozi maalum ya kiangazi ya kuhifadhi na kusoma Qur’ani kwa  wanawake  imezinduliwa katika Msikiti Mkuu wa Makka maarufu kama Masjid al Haram.
                Habari ID: 3480971               Tarehe ya kuchapishwa            : 2025/07/20
            
                        
        
        IQNA – Semina ya kitamaduni na kielimu iliyopewa jina “Utangulizi wa Mafanikio ya Mapinduzi ya Kiislamu katika Nyanja ya Wanawake” iliandaliwa jijini Dar es Salaam, Tanzania, Jumatatu.
                Habari ID: 3480205               Tarehe ya kuchapishwa            : 2025/02/12
            
                        Harakati za Qur'ani
        
        IQNA – Toleo la 16 la Kongamano la Kimataifa la Watafiti wa Qur’ani Wanawake lilifanyika katika Mnara wa Milad mjini Tehran siku ya Alhamisi.
                Habari ID: 3479960               Tarehe ya kuchapishwa            : 2024/12/27
            
                        Qur'ani Katika Maisha
        
        IQNA – Mwanamke Muirani aliyehifadhi Qur'ani Tukufu amesema mtu ambaye amekumbatia uzuri wa Qur'ani Tukufu hawezi kuvumilia kutengwa nayo.
                Habari ID: 3479872               Tarehe ya kuchapishwa            : 2024/12/07
            
                        Michezo
        
        IQNA - Chama cha Soka cha Uingereza (FA) kimeomba msamaha kwa mwanasoka mwanamke mwenye uraia pacha wa Uingereza - Somalia.
                Habari ID: 3479684               Tarehe ya kuchapishwa            : 2024/11/02
            
                        Wanawake na Qur'ani
        
        IQNA - Mjumbe wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, anasema heshima na imani ya  wanawake  huko Gaza "inang'aa kama dhahabu safi" wakati huu ambapo utawala wa Kizayuni wa Israel unaendelea mauaji ya kimbari na uharibifu katika eneo hilo lililozingirwa.
                Habari ID: 3479673               Tarehe ya kuchapishwa            : 2024/10/30
            
                        Mashindano ya Qur'ani
        
        IQNA – Mhifadhi wa Qur’ani kutoka Uswidi ameshika nafasi ya kwanza katika Toleo la 8 la Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani kwa  wanawake  huko Dubai, Umoja  Falme za Kiarabu.
                Habari ID: 3479431               Tarehe ya kuchapishwa            : 2024/09/14
            
                        Mashindano ya Qur'ani
        
        IQNA - Zahra Ansari anaiwakilisha Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Toleo la 8 la Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Sheikha Fatima Bint Mubarak kwa  wanawake .
                Habari ID: 3479407               Tarehe ya kuchapishwa            : 2024/09/09
            
                        Mashindano ya Qur'ani
        
        IQNA - Dubai katika Umoja wa Falme za Kiarabu inaandaa toleo la 8 la Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Sheikha Fatima Bint Mubarak kwa  wanawake .
                Habari ID: 3479401               Tarehe ya kuchapishwa            : 2024/09/08
            
                        Jamii
        
        IQNA – Warsha ya kimataifa ya mtandaoni inayoangazia changamoto ambazo usasa unaleta katika familia imeandaliwa na Shirika la Habari za Qur'ani la Kimataifa (IQNA).
                Habari ID: 3479188               Tarehe ya kuchapishwa            : 2024/07/26
            
                        Mashindano ya Qur'ani
        
        IQNA - Zahra Ansari ambaye amehifadhi Qur’ani Tukufu kikamilifu ataiwakilisha Iran katika toleo la 8 la Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Sheikha Fatima Bint Mubarak Kwa Wanawake ya Dubai katika Umoja wa Falme za Kiarabu.
                Habari ID: 3479186               Tarehe ya kuchapishwa            : 2024/07/26
            
                        
        
        IQNA – Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahl-ul-Bayt (AS) amesema Uislamu ni mtetezi wa kweli wa haki za binadamu zikiwemo za  wanawake .
                Habari ID: 3478755               Tarehe ya kuchapishwa            : 2024/05/02
            
                        Jinai za Israel
        
        IQNA - Wakati dunia ikiadhimisha Siku ya Kimataifa ya Wanawake hii leo, ofisi ya vyombo vya habari vya serikali huko Gaza imeomboleza  wanawake  8,900 wa Kipalestina waliouawa tangu Oktoba wakati utawala katili wa Israel ulipoanza mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina katika eneo hilo.
                Habari ID: 3478468               Tarehe ya kuchapishwa            : 2024/03/08
            
                        
        
        IQNA – Kiikao cha Khatmul Quran (kusoma Qur'ani Tukufu kutoka mwanzo hadi mwisho) kimefanyika kwa  wanawake  katika msikiti katika mji mkuu wa Misri.
                Habari ID: 3478270               Tarehe ya kuchapishwa            : 2024/01/29
            
                        Sura za Qur'ani Tukufu: An-Nisa
        
        IQNA – Surah An-Nisa, sura ya nne ya Quran, inaanza kwa kupendekeza Taqwa (kumcha Mungu).
                Habari ID: 3478193               Tarehe ya kuchapishwa            : 2024/01/13