iqna

IQNA

wanawake
Jinai za Israel
IQNA - Wakati dunia ikiadhimisha Siku ya Kimataifa ya Wanawake hii leo, ofisi ya vyombo vya habari vya serikali huko Gaza imeomboleza wanawake 8,900 wa Kipalestina waliouawa tangu Oktoba wakati utawala katili wa Israel ulipoanza mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina katika eneo hilo.
Habari ID: 3478468    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/08

IQNA – Kiikao cha Khatmul Quran (kusoma Qur'ani Tukufu kutoka mwanzo hadi mwisho) kimefanyika kwa wanawake katika msikiti katika mji mkuu wa Misri.
Habari ID: 3478270    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/29

Sura za Qur'ani Tukufu: An-Nisa
IQNA – Surah An-Nisa, sura ya nne ya Quran, inaanza kwa kupendekeza Taqwa (kumcha Mungu).
Habari ID: 3478193    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/13

Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu
IQNA- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kislamu mapema leo amehutubia maelfu ya wanawake na wasichana ambako amebainisha mtazamo wa kimantiki wa Uislamu kuhusu nafasi ya wanawake katika familia na shughuli kijamii, siasa na uongozi katika ngazi mbalimbali.
Habari ID: 3478103    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/27

Mashindano ya Qur'ani
DUBAI (IQNA) - Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Dubai ya Sheikha Fatima Bint Mubarak kwa wanawake yalifungwa katika sherehe huko Dubai, UAE.
Habari ID: 3477637    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/23

Mashindano ya Qur'ani
DUBAI (IQNA) – Toleo la 7 la mashindano ya kimataifa ya Qur’ani ya Sheikha Fatima Bint Mubarak kwa wanawake yalizinduliwa huko Dubai, katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), siku ya Jumamosi.
Habari ID: 3477607    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/16

Afisa wa HIzbullah
TEHRAN (IQNA) – Afisa wa vuguvugu la muqawama la HIzbullah la Lebanon alisema Hijab inawapa wanawake wa Kiislamu utambulisho na mamlaka.
Habari ID: 3477092    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/03

Harakati za Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Wizara ya Wakfu ya Misri imesema vikao maalumu vya kusoma Qur'ani Tukufu kwa wanawake vinaendelea kufanyika katika majimbo matatu ya nchi hiyo.Magavana wa Cairo, Sharqia na Alexandria wanaendelea kuandaa matukio ya Qur'ani, kwa mujibu wa tovuti ya Tahya Misr.
Habari ID: 3477040    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/24

Kikao cha Kusoma Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Kikao cha Kusoma Qur’ani Tukufu cha Wanawake wa Ulimwengu wa Kiilamu kinafanyika leo hapa mjini Tehran kwa kushirikisha wanawake kutoka Iran na kwingineko katika ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 3476892    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/20

Wanawake Afghanistan
TEHRAN (IQNA) - Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Amina Mohammed, na viongozi waandamizi wa Taliban nchini Afghanistan walifanya mazungumzo kuhusu haki za wanawake .
Habari ID: 3476442    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/21

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameutaja msimamo wa Jamhuri ya Kiislamu mkabala wa wanaodai kinafiki kuwa wanatetea haki za wanawake wa Kimagharibi kuwa ni wa kudai na kuhujumu na akasema kuwa, Magharibi ya kisasa na utamaduni ulioporomoka wa Magharibi vina hatia katika suala hili na wametenda makosa na uhalifu dhidi ya utu na hadhi ya mwanamke.
Habari ID: 3476358    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/04

Wanawake Saudia
TEHRAN (IQNA) – Wanawake wameruhusiwa kuendesha treni zinazosafiri kati ya miji mitakatifu ya Makka na Madina nchini Saudi Arabia.
Habari ID: 3476350    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/03

Hali ya Afghanistan
TEHRAN (IQNA) - Jumuiya ya Ushirikiano wa Nchi za Kiislamu (OIC) imebainisha masikitiko yake kuhusu uamuzi wa utawala wa Taliban nchini Afghanistan kuwapiga marufuku wanawake kuendelea na elimu katika vyuo vikuu nchini humo.
Habari ID: 3476291    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/23

Hali ya Afghanistan
TEHRAN (IQNA) – Sheikhe Mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri ameutaka utawala wa Taliban kuondoa marufuku ya elimu ya juu kwa wanawake nchini Afghanistan.
Habari ID: 3476290    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/23

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Toleo la 6 la Mashindano ya Kimataifa la ya Qur’ani ya Sheikha Fatima Bint Mubarak kwa wanawake yanaendelea huko Dubai, nchini UAE.
Habari ID: 3475874    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/03

Wanawake na Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Kongamano la kila mwaka la Qur’ani la Jumuiya ya Qur’ani ya Wanawake na Wasichana ya Gambia liliandaliwa ili kukuza vipaji vya kielimu miongoni mwa wanachama wa jumuiya hiyo.
Habari ID: 3475321    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/01

Siku ya Wanawake Duniani
TEHRAN (IQNA)- Leo tarehe 8 Machi inatambuliwa kuwa Siku ya Kimataifa ya Mwanamke. Pamoja na kuwa wanawake maeneo mengi duniani wanasherehekea siku hii kwa shangwe, huko Palestina hali ni tofauti kwani wanawake wanuawa kiholela na jeshi la utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3475021    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/08

TEHRAN (IQNA)- Wataalamu wa haki za Umoja wa Mataifa wametaka kukomeshwa kwa mashambulizi ya mtandaoni "ya kuchukiza dhidi ya wanawake na ya kimadhehebu" dhidi ya mwanahabari Muislamu nchini India, wakiomba mamlaka kuchunguza unyanyasaji huo.
Habari ID: 3474966    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/23

TEHRAN (IQNA)- Washindi wa Duru ya Tano ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Wanawake Dubai katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) wametangazwa.
Habari ID: 3474613    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/28

TEHRAN (IQNA)- Wawakilishi wa nchi takribani 50 wametangaza kuwa tayari kushiriki katika Duru ya Tano ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Wanawake Dubai katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE)
Habari ID: 3474566    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/16