iqna

IQNA

IQNA – Semina ya kitamaduni na kielimu iliyopewa jina “Utangulizi wa Mafanikio ya Mapinduzi ya Kiislamu katika Nyanja ya Wanawake” iliandaliwa jijini Dar es Salaam, Tanzania, Jumatatu.
Habari ID: 3480205    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/12

Harakati za Qur'ani
IQNA – Toleo la 16 la Kongamano la Kimataifa la Watafiti wa Qur’ani Wanawake lilifanyika katika Mnara wa Milad mjini Tehran siku ya Alhamisi.
Habari ID: 3479960    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/27

Qur'ani Katika Maisha
IQNA – Mwanamke Muirani aliyehifadhi Qur'ani Tukufu amesema mtu ambaye amekumbatia uzuri wa Qur'ani Tukufu hawezi kuvumilia kutengwa nayo.
Habari ID: 3479872    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/07

Michezo
IQNA - Chama cha Soka cha Uingereza (FA) kimeomba msamaha kwa mwanasoka mwanamke mwenye uraia pacha wa Uingereza - Somalia.
Habari ID: 3479684    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/02

Wanawake na Qur'ani
IQNA - Mjumbe wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, anasema heshima na imani ya wanawake huko Gaza "inang'aa kama dhahabu safi" wakati huu ambapo utawala wa Kizayuni wa Israel unaendelea mauaji ya kimbari na uharibifu katika eneo hilo lililozingirwa.
Habari ID: 3479673    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/30

Mashindano ya Qur'ani
IQNA – Mhifadhi wa Qur’ani kutoka Uswidi ameshika nafasi ya kwanza katika Toleo la 8 la Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani kwa wanawake huko Dubai, Umoja  Falme za Kiarabu.
Habari ID: 3479431    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/14

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Zahra Ansari anaiwakilisha Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Toleo la 8 la Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Sheikha Fatima Bint Mubarak kwa wanawake .
Habari ID: 3479407    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/09

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Dubai katika Umoja wa Falme za Kiarabu inaandaa toleo la 8 la Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Sheikha Fatima Bint Mubarak kwa wanawake .
Habari ID: 3479401    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/08

Jamii
IQNA – Warsha ya kimataifa ya mtandaoni inayoangazia changamoto ambazo usasa unaleta katika familia imeandaliwa na Shirika la Habari za Qur'ani la Kimataifa (IQNA).
Habari ID: 3479188    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/26

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Zahra Ansari ambaye amehifadhi Qur’ani Tukufu kikamilifu ataiwakilisha Iran katika toleo la 8 la Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Sheikha Fatima Bint Mubarak Kwa Wanawake ya Dubai katika Umoja wa Falme za Kiarabu.
Habari ID: 3479186    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/26

IQNA – Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahl-ul-Bayt (AS) amesema Uislamu ni mtetezi wa kweli wa haki za binadamu zikiwemo za wanawake .
Habari ID: 3478755    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/02

Jinai za Israel
IQNA - Wakati dunia ikiadhimisha Siku ya Kimataifa ya Wanawake hii leo, ofisi ya vyombo vya habari vya serikali huko Gaza imeomboleza wanawake 8,900 wa Kipalestina waliouawa tangu Oktoba wakati utawala katili wa Israel ulipoanza mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina katika eneo hilo.
Habari ID: 3478468    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/08

IQNA – Kiikao cha Khatmul Quran (kusoma Qur'ani Tukufu kutoka mwanzo hadi mwisho) kimefanyika kwa wanawake katika msikiti katika mji mkuu wa Misri.
Habari ID: 3478270    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/29

Sura za Qur'ani Tukufu: An-Nisa
IQNA – Surah An-Nisa, sura ya nne ya Quran, inaanza kwa kupendekeza Taqwa (kumcha Mungu).
Habari ID: 3478193    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/13

Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu
IQNA- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kislamu mapema leo amehutubia maelfu ya wanawake na wasichana ambako amebainisha mtazamo wa kimantiki wa Uislamu kuhusu nafasi ya wanawake katika familia na shughuli kijamii, siasa na uongozi katika ngazi mbalimbali.
Habari ID: 3478103    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/27

Mashindano ya Qur'ani
DUBAI (IQNA) - Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Dubai ya Sheikha Fatima Bint Mubarak kwa wanawake yalifungwa katika sherehe huko Dubai, UAE.
Habari ID: 3477637    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/23

Mashindano ya Qur'ani
DUBAI (IQNA) – Toleo la 7 la mashindano ya kimataifa ya Qur’ani ya Sheikha Fatima Bint Mubarak kwa wanawake yalizinduliwa huko Dubai, katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), siku ya Jumamosi.
Habari ID: 3477607    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/16

Afisa wa HIzbullah
TEHRAN (IQNA) – Afisa wa vuguvugu la muqawama la HIzbullah la Lebanon alisema Hijab inawapa wanawake wa Kiislamu utambulisho na mamlaka.
Habari ID: 3477092    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/03

Harakati za Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Wizara ya Wakfu ya Misri imesema vikao maalumu vya kusoma Qur'ani Tukufu kwa wanawake vinaendelea kufanyika katika majimbo matatu ya nchi hiyo.Magavana wa Cairo, Sharqia na Alexandria wanaendelea kuandaa matukio ya Qur'ani, kwa mujibu wa tovuti ya Tahya Misr.
Habari ID: 3477040    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/24

Kikao cha Kusoma Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Kikao cha Kusoma Qur’ani Tukufu cha Wanawake wa Ulimwengu wa Kiilamu kinafanyika leo hapa mjini Tehran kwa kushirikisha wanawake kutoka Iran na kwingineko katika ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 3476892    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/20