
Kwa mujibu wa mwandishi wa IQNA, mtoto huyo Muafrika ambaye jina lake halikutajwa anasikika akisema aya za 21 hadi 23 za Surah Al-Hashr. Wengi waliosikiliza qiraa hiyo wamesema motto huyo ana mustakabali mwema wa usomaji Qur’ani Tukufu.
Zenye maoni mengi zaidi