IQNA

17:11 - August 03, 2021
Habari ID: 3474154

Sherehe za kuidhinishwa rasmi rais Raeisi

Katika sherehe iliyofanyika leo mjini Tehran katikakatika Hussainiya ya Imam Khomeini (MA), Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Khamenei amemuidhinisha Ebrahim Raeisi kuwa rais wa nane wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

Sherehe za kuidhinishwa rasmi rais Raeisi
captcha