IQNA

Mawaidha

Qur’ani Tukufu inawahimiza wanadamu kukabili udhalimu (+Video)

18:59 - October 07, 2023
Habari ID: 3477697
TEHRAN (IQNA) – Qur’an Tukufu ni kitabu cha hekima, kitabu cha elimu na kitabu cha uboreshaji wa mwanadamu na wale walio na uadui wa Qur’an wana uadui wa elimu, hekima, na uboreshaji wa mwanadamu.

Hayo ni kwa mujibu wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Seyed Ali Khamenei akihutubia katika hadhara ya washiriki wa Kongamano la 37 la Kimataifa la Umoja wa Kiislamu, mabalozi wa nchi za Kiislamu nchini Iran na baadhi ya maafisa wa mfumo wa Kiislamu nchini Iran katika kikao kilichofanyika mjini Tehran tarehe 3 Oktoba katika mnasaba wa Maulidi au kumbukumbu ya kuzaliwa Mtume Muhammad (SAW) na Imamu Sadiq (AS).

3485456

captcha