iqna

IQNA

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema Marekani inahasimiana na Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) kwa sababu jeshi hilo limekuwa mstari wa mbele katika kuilinda Iran na Mapinduzi ya Kiislamu na kuongeza kuwa: "Kwa miaka 40 sasa, Marekani na maadui wengine wajinga wamekuwa wakifanya kila wawezalo dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran lakini wameshindwa."
Habari ID: 3471906    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/09

TEHRAN (IQNA) – Nchi 27 zitawakilishwa katika Mashindano ya 6 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Iran maalumu kwa ajili ya wanafunzi wa shule.
Habari ID: 3471905    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/08

TEHRAN (IQNA) – Washiriki wa Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wameanza kuwasili nchini.
Habari ID: 3471904    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/08

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, Marekani inapinga mchakato wa demokrasia nchini Iraq.
Habari ID: 3471903    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/07

TEHRAN (IQNA)- Waislamu nchini Ethiopia wanaendelea kunufaika na huduma za Kiislamu katika taasisi za kifedha nchini humo.
Habari ID: 3471901    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/06

TEHRAN (IQNA)- Idara ya Polisi nchini Ireland imeamua kuwaruhusi maafisa wa polisi kike ambao ni Waislamu kuvaa vazi la staha la Hijabu.
Habari ID: 3471900    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/06

TEHRAN (IQNA)- Mwanazuoni maarufu wa Kiislamu nchini Bahrain, Sheikh Isa Qassim amekosoa vikali hatua ya kualikwa raia wa utuawala wa Kizayuni wa Israel kwenye kongamano la kibiashara linalotazamiwa kufanyika katikati ya mwezi huu wa Aprili nchini humo.
Habari ID: 3471899    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/04

TEHRAN (IQNA)- Mfalme Salman Bin Abdulaziz wa Saudi Arabia ameitembelea Bahrain katika safari fupi na kufanya mazungumzo na mfalme wa nchi hiyo Hamad bin Isa Aal Khalifa.
Habari ID: 3471898    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/04

Kiongozi wa Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwepo Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika harakati ya Tauhidi (Kumpwekesha Mwenyezi Mungu) ni chanzo kikuu cha uhasama wa Marekani na vibaraka wake kama vile ukoo wa Aal Saud.
Habari ID: 3471897    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/03

TEHRAN (IQNA)- Jumamosi tarehe 30 Machi 2019, imesadifiana na kuwadia mwaka wa 43 wa Siku ya Ardhi huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu na utawala vamizi wa Israel.
Habari ID: 3471895    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/03/31

TEHRAN (IQNA)-Bustani ya Qur'ani imezinduliwa Ijumaa katika Umoja wa Falme za Kiarabu mjini Dubai katika eneo la Al Khawaneej Ijumaa ambapo wageni watapa fursa ya kujifunza kuhusu miujiza ya Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3471894    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/03/30

TEHRAN (IQNA)- Jumba la Makumbusho la Hagia Sophia mjini Istanbul litageuzwa na kurejea katika hadhi yake ya msikiti, ameamuru Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki.
Habari ID: 3471893    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/03/29

TEHRAN (IQNA)- Shule ya Waislamu mjini New Castle Uingereza imehujumiwa na watu wenye chuki dhidi ya Uislamu ambao walivunjia haeshima nakala za Qur'ani Tukufu katika shule hiyo.
Habari ID: 3471891    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/03/28

Kiongozi wa Hizbullah Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA)-Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, hatua ya Rais Donald Trump wa Marekani ya kuitambua rasmi miinuko ya Golan kuwa ni miliki ya utawala bandia wa Israel ni kuzitusi na kuzivunjia heshima nchi za Ulimwengu wa Kiislamu na Kiarabu.
Habari ID: 3471890    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/03/27

TEHRAN (IQNA)- Waziri Mkuu wa New Zealand Jacind Ardern ameagiza kufanyike uchunguzi huru kuhusu hujuma za kigaidi dhidi ya misikiti miwili katika mji wa Christchurch nchini humo.
Habari ID: 3471888    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/03/26

TEHRAN (IQNA)-Rais Donald Trump wa Marekani amelaani vikali na kutengwa kimataifa kudai kuwa kuwa utawala haramu wa Israel unamiliki miinuko ya Golan ya Syria.
Habari ID: 3471887    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/03/24

TEHRAN (IQNA)- Kikao cha dharura cha Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) kimefanyika Ijumaa mjini Istanbul, Uturuki kwa lengo la kujadili hatua za kuchukuliwa baada ya shambulio la kigaidi la hivi karibuni dhidi ya Waislamu waliokuwa katika Sala ya Ijumaa kwenye misikiti miwili nchini New Zealand.
Habari ID: 3471886    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/03/23

TEHRAN (IQNA)-Katika kuonyesha mshikamano na uungaji mkono kwa Waislamu pamoja na familia za wahanga wa shambulio la kigaidi la Ijumaa iliyopita katika misikiti miwili ya Linwood na Al-Noor ya mji wa Christchurch nchini New Zealand, adhana imerushwa hewani kitaifa moja kwa moja katika televisheni na radio sambamba na misikiti yote ya nchi hiyo leo Ijumaa.
Habari ID: 3471885    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/03/22

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, katika ujumbe kwa munasaba wa kuanza mwaka mpya wa 1398 Hijiria Shamsia, ametuma salamu za pongezi za Nowuruz (Nairuzi) na pia salamu kwa munasaba Wilada ya Imam Ali AS kwa wananchi wa Iran na hasa familia za mashahidi na majeruhi wa vita na amelitakia taifa la Iran mwaka wenye furaha, saada, afya ya kimwili na mafanikio ya kimaada na kimaanawi na ameutaja mwaka mpya kuwa mwaka wa "kustawi uzalishaji".
Habari ID: 3471884    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/03/21

Rais Rouhani katika ujumbe wa Nowruz
TEHRAN (IQNA) - Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran mapema Alhamisi ametuma ujumbe kwa kunasaba wa kuanza mwaka mpya wa 1398 Hijria Shamsiya na kusema mwaka 1397 ulikuwa mwaka wa mafanikio makubwa ya taifa la Iran katika nyuga mbali mbali na kuongeza kuwa, kwa yakini taifa la Iran litapata ushindi na litavuka matatizo yaliyopo.
Habari ID: 3471883    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/03/21