TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Wakfu huko Misri ametangaza kuwa misikiti 300 itafunguliwa nchini humo katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani mwaka huu.
Habari ID: 3471953 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/05/12
TEHRAN (IQNA)-Zaidi ya wafungwa zaidi ya 100 Wahindu wamejiunga na wafungwa Waislamu katika Sawm ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani mjini New Delhi, India.
Habari ID: 3471951 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/05/11
TEHRAN (IQNA)- Wananchi wa Iran ya Kiislamu wameandamana nchi nzima baada ya Sala ya Ijumaa kuunga mkono hatua zilizochukuliwa na serikali ya Iran kusimamisha utekelezaji wa baadhi ya ahadi zake katika mapatano ya nyuklia ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezwaji (JCPOA).
Habari ID: 3471950 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/05/10
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amebainisha majukumu ya Hawza (vyuo vikuu vya kidini) na maulamaa katika kubainisha maarifa ya Uislamu na kufanya juhudi kwa ajili ya kufikiwa hilo katika jamii na kusisitiza kwamba, maulamaa wakiwa warithi wa Manabii wanapaswa kufanya hima kubwa ili tawhidi na uadilifu vipatikane kivitendo katika jamii.
Habari ID: 3471949 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/05/09
TEHRAN (IQNA) – Maonyesho ya 27 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Tehran yamepangwa kuanza Jumamosi 11 Mei katika mji mkuu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3471948 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/05/09
TEHRAN (IQNA) -Iran imesimamisha kwa muda utekelezaji wa baadhi ya ahadi zake kuhusu mapatano ya nyuklia ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezwaji (JCPOA), ikiwa ni mwaka mmoja baada ya Marekani kujitoa kwa upande mmoja katika mapatano hayo muhimu ya kimataifa.
Habari ID: 3471946 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/05/08
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislaamu amesisitiza kuwa: " Chanzo cha izza inayoongezeka na ustawi wa hali ya juu wa taifa la Iran katika kipindi cha miaka 40 iliyopita ni kutekeleza mafundisho ya Qur'ani Tukufu hasa kuhusu kusimama kidete na leo pia njia pekee ya kupata ushindi dhidi ya mashetani na makafiri ni kusimama kidete."
Habari ID: 3471945 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/05/07
TEHRAN (IQNA) – Hospitali moja katika eneo la Fort McMurry, mkoani Alberta, nchini Canada imekuwa hospitali ya kwanzake katikaukanda wa Alberta kaskazini kuwapa wagojwa chaguo la chakula halali.
Habari ID: 3471944 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/05/06
TEHRAN (IQNA)-Misikiti katika eneo la Long Island mjini New York nchini Marekani imeimarisha usalama kwa kuwaajiri walinzi wenye silaha katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kufuatia hujuma za hivi karibuni za kigaidi katika maeneo ya ibada kote duniani.
Habari ID: 3471941 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/05/05
TEHRAN (IQNA)- Hatua ya serikali ya Marekani kuiwekea Iran vikwazo vya mafuta baada ya kujiondoa katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA imekabiliwa na upinzani mkali kutoka kwa wanunuzi wa mafuta ghafi ya petroli ya Iran katika soko la kimataifa na pia kutoka kwa wakuu wa Shirika la Nchi Zinazouza Mafuta kwa Wingi Duniani (OPEC).
Habari ID: 3471940 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/05/04
Sayyid Hassan Nasrallah
TEHRAN - (IQNA)-Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema hali katika Asia Magharibi (Mashariki ya Kati) inaonyesha kuwepo uchochezi unaotekelezwa na Marekani, baadhi ya nchi za eneo na vyombo vya habari ili kuuwezesha utawala wa Kizayuni Kuanzisha vita
Habari ID: 3471939 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/05/03
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema leo Jumatano wakati huu wa kukaribia maadhimisho ya Siku ya Mwalimu nchini Iran kwamba kama taifa litashikamana na kuwa kitu kimoja, basi njama zote za adui zitamrudia mwenyewe.
Habari ID: 3471938 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/05/02
TEHRAN (IQNA) – Tarjuma ya Qur'ani Tukufu kwa lugha ya Asante Twi imezinduliwa eneo la Kumasi, kusini mwa Ghana ili kuwawezesha wanaozungumza lugha hiyo kusoma kitabu hicho kitukufu.
Habari ID: 3471937 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/05/01
Rais Hassan Rouhani
TEHRAN (IQNA) - Rais Hassan Rouhani wa Iran Jamhuri ya Kiislamu amesema nchi hii katu haitasitisha uuzaji wa mafuta ghafi yake ya petroli katika soko la kimataifa pamoja na kuwepo mashinikizo na vikwazo vipya vya Marekani.
Habari ID: 3471936 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/30
TEHRAN (IQNA)- Duru ya 12 ya mashindano ya kimataifa ya kusoma Qur'ani (qiraa) ambayo hufanyika mubashara au moja kwa moja kupitia Televisheni ya Al Kauthar ya Iran yanatazamiwa kuwa na washiriki 250 mwaka huu.
Habari ID: 3471935 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/30
TEHRAN (IQNA)- Mkuu wa Tume ya Kiislamu ya Haki za Binadamu (IHRC) Massoud Shajareh amesema utawala wa Nigeria hauna budi ila kumuachilia huru kiongozi wa harakati ya Kiislamu nchini humo Sheikh Ibrahim Zakzaky.
Habari ID: 3471934 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/29
TEHRAN (IQNA) – Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kundi lenye misimamo mikali la Timu B linamchochea Rais Donald Trump wa Marekani aanzishe vita dhidi ya Iran.
Habari ID: 3471932 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/29
Spika wa Bunge la Iran
TEHRAN (IQNA) -Spika wa Bunge la Iran, Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu, ulimwengu wa Kiislamu leo unakabiliwa na tatizo la misimamo mikali na utakfiri.
Habari ID: 3471931 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/28
TEHRAN (IQNA)- Wawakilishi wa nchi 90 wanatazamiwa kushiriki katika Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Dubai.
Habari ID: 3471930 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/27
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa: "Katika kulipigisha magoti taifa la Iran, adui amejikita katika mashinikizo ya kiuchumi lakini afahamu kuwa, taifa hili katu halitapigishwa magoti na sambamba na kutumia vikwazo kama fursa ya kustawi na kunawiri, halitaacha uhasama wa Marekani ubakie hivi hivi bila kupata jibu."
Habari ID: 3471929 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/25