TEHRAN (IQNA)- Ripoti ya Umoja wa Mataifa imebaini kuwa yamkini utawala haramu wa Israel umetenda jinai za kivita au jinai dhidi ya binadamu katika oparesheni zake za kijeshi zinazowalenga Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza
Habari ID: 3471857 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/03/01
TEHRAN (IQNA) – Katika kipindi cha siku kadhaa sasa kumeibuka uhasama mkubwa baina ya India na Pakistan na kuna hatari ya kuibuka vita kamili baina ya madola hayo mawili yenye makombora ya nyuklia.
Habari ID: 3471856 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/02/28
TEHRAN (IQNA)-Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema makumi ya maelefu ya watoto Wayemen wamekufa njaa tokea Saudia na waitifaki wake waanzishe vita angamizi dhidi ya nchi hiyo masikini ya Kiarabu.
Habari ID: 3471855 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/02/27
TEHRAN (IQNA). Sherehe za Mazazi ya Bibi Fatima Zahra SA hivi karibuni zimewaleta pamoja Waislamu na wapenzi wa Ahul Bayt wa Mtume SAW katika katika Markaz Mafaatihul Jinaan, Kiguza, Mkuranga, Pwani nchini Tanzania.
Habari ID: 3471854 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/02/26
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema wakati alipoonana na kuzungumza na Rais Bashar al Assad wa Syria hapa mjini Tehran Jumatatu kwamba, Iran inalihesabu suala la kuiunga mkono Syria kuwa ni sawa na kuunga mkono muqawama (mapambano ya Kiislamu) na inaona fakhari kwa jambo hilo.
Habari ID: 3471853 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/02/26
TEHRAN (IQNA)- Askari wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamemkamata mkuu wa Idara ya Wakfu inayosimamia maeneo matakatifu ya Kiislamu katika mji wa Quds (Jerusalem) .
Habari ID: 3471852 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/02/25
TEHRAN (IQNA)-Kufuatia ongezeko la wageni Waislamu nchini Japan, vyumba vya Sala vya Waislamu vinawekwa katika maeneo mengi ya kibiasahra kote katika nchi hiyo.
Habari ID: 3471851 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/02/24
TEHRAN (IQNA)- Magaidi wakufurishaji wa Boko Haram mapema leo wameshambulia mji katika eneo la kaskazini mashariki mwa Nigeria na kuwalazimu wakazi kutoroka masaa machache tu kabla ya kuanza upigaji kura katika uchaguzi mkuu.
Habari ID: 3471850 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/02/23
TEHRAN (IQNA) – Katika tukio ambalo limetajwa kuwa la kihistoria na la aina yake nchini Kenya, msikiti umejengwa katika sehemu ilimokuwa imejengwa kanisa baada ya askofu wa kanisa hilo kusilimu na wafuasi wake.
Habari ID: 3471849 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/02/22
TEHRAN (IQNA) –Serikali ya China inaendeleza ukandamizaji wake wa jamii ya Waislamu nchini humo na sasa inatumia kamera maalumu kwa lengo la kuwachunguza na kuwadhibiti Waislamu.
Habari ID: 3471848 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/02/21
TEHRAN (IQNA)- Askari wa utawala wa Kizayuni wa Israel Jumanne waliuhujumu Msikiti wa Al Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) na kuwajeruhi Wapalestina waliokuwa wakifanya ibada katika eneo hilo la tatu kwa utakatifu katika Uislamu.
Habari ID: 3471847 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/02/20
TEHRAN (IQNA)- Jumuiya ya Kimataifa ya Maulama wa Kiislamu imelaani vikali mkutano wa hivi karibuni baina ya maafisa wa ngazi za juu wa nchi za Kiarabu na Waziri Mkuu wa Utawala wa Kizayuni wa Israel huko Warsaw, Poland.
Habari ID: 3471846 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/02/19
TEHRAN (IQNA)-Kongamano la kimataifa la miujiza ya Qur'ani Tukufu limefanyika hivi karibuni katika mji mkuu wa Iraq, Baghadad.
Habari ID: 3471845 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/02/18
TEHRAN (IQNA)- Serikali ya Sudan imeanza mradi wa kitaifa wa kukarabati nakala za kale za Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3471844 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/02/17
TEHRAN (IQNA)- Mahakama nchini Austria imebatilisha uamuzi wa serikali kufunga misikiti sita ya jamii ya Waarabu nchini humo.
Habari ID: 3471842 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/02/15
TEHRAN (IQNA) Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Jumatano ametoa ujumbe muhimu sana kwa taifa la Iran kwa jina la "Hatua ya Pili ya Mapinduzi" kwa mnasaba wa maadhimisho ya miaka 40 ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu.
Habari ID: 3471841 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/02/14
TEHRAN (IQNA) – Mashindano ya Kitaifa ya Walemavu wa Macho yamemalizika Jumatatu wiki hii nchini Iraq.
Habari ID: 3471840 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/02/13
TEHRAN (IQNA) – Washindi wa Mashindano ya Qur'ani ya watoto walemavu yamefanyika nchini Saudi Arabia.
Habari ID: 3471839 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/02/13
TEHRAN (IQNA)- Kamati ya Bunge la Uingereza ambayo ilikuwa na jukumu la kuchunguza mauzo ya silaha za nchi hiyo mwaka 2017 imelaaniwa vikali kwa kupuuza uuzaji wa silaha kwa Saudi Arabia nchi ambayo inawaua raia kiholela katika vita vya Yemen.
Habari ID: 3471838 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/02/12
TEHRAN (IQNA)- Morocco imejiondoa katika muungano wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia katika vita dhidi ya Yemen.
Habari ID: 3471836 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/02/10