iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA)- Saudi Arabia inaendelea kulaaniwa kimataifa kw akuwanyonga raia wan chi hiyo kutokana na itikadi zao zinazokinzana na zile za watawala wa ukoo wa Aal Saud.
Habari ID: 3471928    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/24

TEHRAN (IQNA)- Msichana mwenye umri wa miaka 19 na ambaye anaugua ugonjwa wa kupooza kwa ubongo (cerebral palsy) amefanikiwa kuhifadhi sura 42 za Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3471927    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/24

TEHRAN (IQNA) – Mashindano ya 61 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Malaysia yalimalizika Jumamosi usiku kwa kutunukiwa zawadi washindi.
Habari ID: 3471926    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/23

Sayyid Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA) - Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon Sayyid Hassan Nasrallah amesema kuwa Marekani na Saudi Arabia ni waungaji mkono ugaidi.
Habari ID: 3471925    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/23

TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, uhusiano wa mataifa mawili ya Iran na Pakistan ni wa moyoni uliokita mizizi vyema na kusisitiza kuwa, uhusiano huo unapaswa kuimarishwa kadiri inavyowezekana hata kama maadui wa mataifa haya mawili watachukizwa na hilo
Habari ID: 3471924    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/23

TEHRAN (IQNA)- Magaidi wameua watu wasiopungua 207 na kuwajeruhi wengine zaidi ya 500 katika wimbi kubwa la hujuma ambazo zimelenga makanisa na mahoteli nchini Sri Lanka .
Habari ID: 3471923    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/21

TEHRAN (IQNA)- Msikiti umebomolewa katika mkoa wa Gansu, kaskazini-kati mwak China ikiwa ni sehemu ya kampeni ya kitaifa ya kufuta turathi za Kiislamu nchini humo.
Habari ID: 3471922    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/20

TEHRAN (IQNA)- Sekta ya Bima ya Kiislamu maarufu kama Takaful inatazamiwa kustawi kote duniani mwaka huu.
Habari ID: 3471921    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/19

TEHRAN (IQNA)-Qarii wa Qur'ani Tukufu kutoka Kenya ambaye ameshiriki katika Mashindano 36 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Iran amesema mashindano hayo yanaimarisha umoja baina ya Waislamu.
Habari ID: 3471920    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/18

TEHRAN (IQNA)-Vijana Waislamu katika nchi 10 barani Ulaya wamewapa wapitanjia maua ya waridi na vijikaratasi vyenye maelezo ya kimsingi kuhusu Uislamu kwa lengo la kuondoa hofu na ubaguzi dhidi ya Uislamu na kustawisha maelewano katika jamii.
Habari ID: 3471919    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/17

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) -Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, baadhi ya watawala wa nchi za Kiislamu hawatekelezi maamrisho ya Qur'ani na ni vibaraka wa Marekani na Wazayuni.
Habari ID: 3471918    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/16

Mwanafunzi wa Kenya aliyeshika nafasi ya kwanza
TEHRAN (IQNA) – Mashindano ya 36 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni ya kiwango cha juu sana ikilinganishwa na mashindano mengine yote duniani, amesema Abdulalim Abdulrahim Haji kutoka Kenya ambaye ameshika nafasi ya kwanza ya mashindano ya kuhifadhi Qur'ani maalumu kwa wanafunzi wa shule.
Habari ID: 3471917    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/15

TEHRAN (IQNA) – Mashindano ya 36 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran yamemalizika leo nchini Iran kwa kutangazwa washindi ambapo mwanafunzi kutoka Kenya ni miongoni mwa washindi.
Habari ID: 3471916    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/14

Qarii mashuhuri wa Tanzania Ustadh Rajayi Ayoub
TEHRAN (IQNA)- Qarii mashuhuri wa Qur'ani Tukufu kutoka nchini Tanzania Ustadh Rajayi Ayoub amesema Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Iran ni fursa muhimu ya kuleta umoja miongoni mwa Waislamu duniani.
Habari ID: 3471915    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/13

TEHRAN (IQNA)- Mashindano ya Tatu ya Kimataifa ya Qur'ani ya Iran maalumu kwa ajili ya wanawake yamemalizika Ijumaa mjini Tehran.
Habari ID: 3471914    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/13

TEHRAN (IQNA) - Wananchi wa Iran wamejitokeza kote nchini baada ya Sala ya Ijumaa kuandamana kwa lengo kuonyesha uungaji mkono wao kwa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu IRGC na kulaani Marekani.
Habari ID: 3471912    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/12

TEHRAN (IQNA)- Rais Omar el Bashir wa Sudan amelazimishwa na jeshi la nchi hiyo kujiuzulu kufuatia maandamano ya miezi kadhaa ya wananchi ambao wamemtaka aachie ngazi baada ya kutawala kwa muda wa miaka 30.
Habari ID: 3471911    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/11

TEHRAN (IQNA)- Harakazi za mapambano ya Kiislamu Iraq ambazo zimekuwa mstari wa mbele katika vita dhidi ya ugaidi zimelaani vikali, hatua ya uhasama ya mtawala wa Marekani Donald Trump ya kuliweka Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) nchini Iran katika orodha ya makundi ya kigaidi.
Habari ID: 3471910    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/11

TEHRAN (IQNA)- Fainali za Mashindano ya 36 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran zimeanza rasmi Jumatano alasiri katika halfa iliyofanyika mjini Tehran.
Habari ID: 3471909    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/10

TEHRAN (IQNA) - Picha za satalaiti zinaonyesha kuwa serikali ya China inabomoa misikiti muhimu ya eneo lenye Waislamu wengi la Xinjiang.
Habari ID: 3471908    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/10