iqna

IQNA

Israeli
WASHINGTON, DC (IQNA) - Kundi la kutetea haki za Waislamu linatazamiwa kuandaa mkutano na waandishi wa habari kuhusu mzozo unaoendelea huko Gaza na uvamizi usiokoma wa Israel huku wakihamasisha ukaliaji wa ardhi ya Palestina.
Habari ID: 3477721    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/12

GAZA (IQNA) - Tangu kuanza kwa mashambulizi ya anga katika Ukanda wa Gaza tarehe 7 mwezi Oktoba, utawala wa Israel ulishambulia kwa mabomu na kuharibu misikiti saba katika eneo hilo lililozingirwa na waisraeli.
Habari ID: 3477714    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/11

TEHRAN (IQNA) - Msemaji wa Hamas amepongeza operesheni ya hivi karibuni iliyozinduliwa Gaza kama sura mpya katika makabiliano dhidi ya wavamizi wa Israeli .
Habari ID: 3477703    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/09

AL-QUDS (IQNA) - Utawala wa Israeli umetoa idhini yake kwa ajili ya ujenzi wa vituo vitatu vipya vya walowezi katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu.
Habari ID: 3477577    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/10

Vikosi vya Israel vimeripotiwa kuwafukuza waumini wa Kiislamu katika Msikiti wa al-Aqsa ili kujiandaa na uvamizi haramu wa walowezi wa Israel.
Habari ID: 3477175    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/21

Rais Hassan Rouhani
TEHRAN (IQNA) - Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameielezea Siku ya Kimataifa ya Quds inayoadhimishwa hii leo kote duniani kama utamaduni mzuri na nembo ya uvumilivu, umoja na mshikamano wa Waislamu katika kuhami na kutetea thamani za Kiislamu.
Habari ID: 3472790    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/22

TEHRAN (IQNA) Kanali yaTelevisheni ya CNN ya Marekani imemfuta kazi mchambuzi wake wa muda mrefu kwa sababu ya kukosoa ukatili na udhalimu wa utawala haramu wa Israel na kutoa wito wa kuundwa nchi huru ya Palestina.
Habari ID: 3471757    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/12/01