iqna

IQNA

IQNA – Semina ya mtandaoni imepangwa kufanyika usiku wa leo kumkumbuka marehemu Abdolrasoul Abaei, msomi mashuhuri wa Qur'ani kutoka Iran.  
Habari ID: 3480617    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/30

IQNA – Baadhi ya mashekhe wakubwa wa Qur’ani kutoka Misri wametoa salamu za rambirambi kufuatia kifo cha Abdolrasoul Abaei, mtaalamu mashuhuri wa Qur’ani nchini Iran.
Habari ID: 3480538    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/14

TEHRAN (IQNA)- Rais Joe Biden wa Marekani amemteua Mpakistani-Mmarekani, Zahid Qureishi kuwa jaji wa mahakama katika ngazi ya fiderali nchini humo.
Habari ID: 3473789    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/06

TEHRAN (IQNA)- Jaji wa kwanza Muislamu mwenye kuvaa Hijabu ameteuliwa katika mfumo wa mahakama nchini Uingereza.
Habari ID: 3472794    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/23

Mwanamke Marekani Muislamu mwenye asili ya Afrika ameapishwa kwa kutumia Qurani kuwa jaji, katika jimbo la Brooklyn.
Habari ID: 3463116    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/12/14