iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA) – Hivi karibuni kumesambazwa qiraa ya Qur'ani Tukufu ya qarii maarufu wa Misri Sheikh Mahmod Shahat Muhammad Anwar akiwa anasema aya za Qur'ani mjini Cape Town, Afrika Kusini.
Habari ID: 3472999    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/25