iqna

IQNA

katara
Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Washindi wa  mashindano ya kimataifa ya Qur’ani yajulikanayo kama Tuzo ya Kuhifadhi Qur'ani ya Katara 2024 walitunukiwa katika hafla iliyofanyika Doha, Qatar, Ijumaa.
Habari ID: 3478642    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/07

Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Zaidi ya wasomaji au maqari 1,300 wamejiandikisha kushiriki Mashindano ya 7 ya Tuzo ya Kuhifadhi Qur'ani ya Katara
Habari ID: 3478145    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/04

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Vipindi vya toleo la sita la Tuzo ya Katara ya Kuhifadhi Qur’ani Tukufu vitaonyeshwa kwenye Televisheni ya Qatar katika mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3476747    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/23

Mashindano ya Qurani
TEHRAN (IQNA) – Qari wa Kiirani ameshika nafasi ya kwanza katika toleo la sita la Tuzo ya Katara ya Kuhifadhi Qur’ani nchini Qatar.
Habari ID: 3476633    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/27

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA)- Taasisi ya Kijiji cha Utamaduni (Katara) nchini Qatar imetangaza Jumanne kwamba washiriki 1273 watawakilisha nchi 67 za Kiarabu na za kimataifa watashindania toleo la sita la "Tuzo ya Katara ya Kusoma Qur'ani Tukufu".
Habari ID: 3476283    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/21

Kombe la Dunia Qatar
TEHRAN (IQNA) – Msikiti Mkuu wa Katara (Msikiti wa Bluu) ni miongoni mwa vivutio vingi katika Kijiji cha Utamaduni cha Katara huko Doha, Qatar, ambacho sasa ni kivutio kikuu kwa watalii wakati wa Kombe la Dunia nchini humo.
Habari ID: 3476165    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/28

TEHRAN (IQNA)- Qarii Mtanzania ameibuka mshindi katika duru ya nne ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Taasisi ya Kijiji cha Utamaduni (Katara) nchini Qatar.
Habari ID: 3473896    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/10

TEHRAN (IQNA)- Taasisi ya Kijiji ya Utamaduni (Katara) nchini Qatar imetangaza harakati kadhaa za mitandaoni katika mwezi mtukufu wa Ramadhani kama vile mashindano ya Qur'ani na maonyesho.
Habari ID: 3473815    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/15