iqna

IQNA

Wanawake Waisalmu wa madhehebu za Shia na Suni nchini Marekani wamefanya kongamano maalumu kwa lengo la kuimarisha umoja wa Kiislamu baina yao.
Habari ID: 3470282    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/01

Rais Rouhani wa Iran
Duru ya 29 ya mkutano wa Umoja wa Kiislamu imeanza leo hapa mjini Tehran kwa hotuba ya Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ambaye amesisitiza kuhusu ulazima wa Waislamu kuungana.
Habari ID: 3469883    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/12/27

Rais Hassan Rouhani wa Iran anatazamiwa kutoa hotuba katika ufunguzi wa mkutano wa 29 kimataifa wa Umoja wa Kiislamu Jumapili hapa mjini Tehran.
Habari ID: 3469673    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/12/26

Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madhehebu za Kiislamu amesema mkutano wa kimataifa wa Umoja wa Kiislamu utafanyika mjini Tehran kuanzia tarehe 27-29 mwezi Desemba.
Habari ID: 3468455    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/12/23

Balozi na mwakilishi wa kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amewasilisha kwenye Baraza Kuu la umoja huo rasimu ya azimio lililopendekezwa na Jamhuri ya Kiislamu la 'dunia isiyo na ukatili na vitendo vya kufurutu mpaka'.
Habari ID: 3462298    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/12/12

Waziri wa Masuala ya Kidini Tunisia
Waziri wa Masuala ya Dini Tunisia Sheikh Uthman Batikh amesisitiza kuhusu ulazima wa kukabiliana na misimamia mikali pamoja na harakati za wakufurishaji na kuongeza kuwa, 'leo wale wenye misimamo mikali wameharibu sura ya Uislamu'.
Habari ID: 3460914    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/12/07

Rais Rouhani
Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Iran inataka kuchangia katika utulivu na maendeleo ya eneo la Mashariki ya Kati na kuimarisha umoja na mshikamano katika ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 3460265    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/12/06

Taasisi moja ya haki za binadamu ya Umoja wa Mataifa imetaka mwanazuoni mashuhuri wa Bahrain aachiliwe huru kwani anashikiliwa kinyuma cha sheria na utawala wa Aal Khalifa.
Habari ID: 3444271    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/11/07

Qur’ani Tukufu inawaita watu wote kuelekea katika akili, hekima na mazungumzo ya kimantiki, amesema mwanazuoni mwandamizi nchini Iran.
Habari ID: 3443991    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/11/06

Umoja wa Mataifa umelaani hatua ya baadhi ya wanazuoni wa Saudi Arabia ya kutangaza kile walichotaja kuwa Jihad dhidi ya Waislamu wa madhehebu ya Shia na Wakristo nchini Syria.
Habari ID: 3385681    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/10/14

Ayatollah Araki
Katibu mkuu wa Jumuiya ya Kimatiafa ya Kukurubisha Madhehebu za Kiislamu Ayatollah Mohsen Araki ametoa wito kwa wanazuoni wa Kiislamu kufuatilia suala la kuundwa Umoja wa Nchi za Kiislamu.
Habari ID: 3384011    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/10/11

Shekhe Mkuu wa Al Azhar Sheikh Ahmed el-Tayeb amesisitiza kuhusu umuhimu wa kudumisha umoja wa Kiislamu.
Habari ID: 3351450    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/25

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa ibada ya Hija ni dhamana ya kuendelea kuwepo Uislamu na dhihirisho la umoja na adhama ya Umma wa Kiislamu.
Habari ID: 3350077    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/23

Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesisitiza kuhusu udharura wa umoja baina ya Waislamu ili kukabiliana na njama hatari za utawala haramu wa Israel za kuubomoa Msikiti wa Al Aqsa katika Mji wa Quds (Jerusalem).
Habari ID: 3349556    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/21

Rais Hassan Rouhani wa Iran
Rais Rouhani amesisitiza kuwa, njia pekee ya kukabiliana na changamoto hizo ni kurejea kwenye umoja wa Waislamu duniani na kujitenga na mirengo iliyopotoka.
Habari ID: 3344480    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/15

Sheikh Mkuu wa al Azhar nchini Misri amesema, kuwakufurisha Waislamu wa madhehebu ya Shia kunakofanyika kupitia kanali za televisheni za satalaiti ni kitendo kisichokubalika.
Habari ID: 3339753    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/07

Mkuu wa Jumuiya ya Umoja wa Kiislamu
Msomi wa Kiislamu Uingereza Dkt. Kamal Helbawi amesema wito wa Chuo Kikuu cha Al Azhar Misri wa kutaka kufanyike kikao cha pamoja baina ya maulamaa wa Kishia na Kisuni ni fursa nzuri ya kuondoa fitina zilizopo katika jamii za Waislamu duniani.
Habari ID: 3339022    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/05

Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madhehebu ya Kiislamu amesisitiza udharura wa kudumishwa umoja wa Waislamu kwa ajili ya kutatua matatizo ya Mashariki ya Kati.
Habari ID: 3336969    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/30

Waislamu wa madhehebu ya Shia na wenzao wa Ahlu Sunnah, wamesali pamoja katika moja ya misikiti ya mkoa wa Qatif, mashariki mwa Saudia.
Habari ID: 3324232    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/07

Shekhe Mkuu wa Chuo Kikuu cha kidini cha al Azhar nchini Misri amepinga hatua ya wahubiri wa Kiwahabi na Kisalafi ya kutumia kauli isiyofaa ya ‘Rafidh’ kuwataja Wapenzi wa Ahul Bayt wa Mtume SAW.
Habari ID: 3323156    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/04