iqna

IQNA

Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa limepasisha azimio linaloitaka serikali ya Myanmar kuwapa haki kamili ya uraia Waislamu wa Rohingya.
Habari ID: 2663155    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/01/01

Kiongozi wa Jumuiya ya Jamaatud Dawa nchini Pakistna Hafidh Saeed Ahmad ametoa wito wa kuanzishwa 'Umoja wa Mataifa ya Kiislamu' ili kutatua matatizo waliyonayo Waislamu duniani.
Habari ID: 2615835    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/12/07

Umoja wa Mataifa umeulaumu vikali utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kuendelea kubomoa nyumba za Wapalestina katika eneo linalokaliwa kwa mabavu la Ukingo wa Magharibi na kusema kuwa, kitendo hicho ni ukiukaji wa haki za kimsingi kabisa za binadamu.
Habari ID: 2615266    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/12/05

Ayatullahil Udhma Nasser Makarem Shirazi mmoja wa maulama na wanazuoni wakubwa nchini Iran amekosoa vikali siasa za kindumakuwili za baadhi ya madola ya Mashariki ya Kati kuhusiana na matukio ya eneo hili likiwemo suala la kundi la kigaidi la Daesh.
Habari ID: 2614519    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/12/02

Kamati ya Sera za Kigeni katika Umoja wa Ulaya imetangaza vikwazo vipya dhidi ya utawala wa Israel kutokana na hatua za utawala huo za kuvuruga usalama wa Baitul Maqdis na kujenga vitongoji vya walowezi wa Kizayuni katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
Habari ID: 1475311    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/11/19

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullahil Udhma Sayyid Ali Khamenei ametoa ujumbe wa kila mwaka wa Hija kwa Mahujaji wa Nyumba ya Mwenyezi Mungu, ambapo amesema Miongoni mwa masuala muhimu na yanayostahiki kupewa kipaumbele kikubwa zaidi hivi sasa ni suala la mshikamano na umoja wa Waislamu.
Habari ID: 1456588    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/10/03

Wanazuoni waandamizi wa Kishia na Kisunni nchini Uingereza wamefanya kikao cha pamoja na kujadili njia za kuimarisha umoja miongoni mwa Waislamu sambamba na kukabiliana na kampeni za kuibua fitina katika ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 1449625    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/09/14

Ayatullah Muhsin Araki, Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kuzikurubisha Pamoja Madhehebu za Kiislamu amesema kuwa, miongoni mwa malengo muhimu ya risala ya Kiislamu na jukumu la Bwana Mtume SAW lilikuwa ni kuleta umoja baina ya watu
Habari ID: 1441626    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/08/21

Imam Khamenei
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, 'ulimwengu wa Kiislamu kwa kuweka kando hilitalfu zilizopo, utumie uwezo wake wote kwa ajili ya kukidhi mahitaji ya Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza.'
Habari ID: 1434650    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/07/29

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullahil Udhma Sayyid Ali Khamenei amezungumzia tukio la kusikitisha la kuuawa wananchi wa Ghaza hasa wanawake na watoto na kusisitiza kuwa, kadhia ya Ghaza kwa hakika ni ya kusikitisha na utawala wa Kizayuni wa Israel umeamua kutekeleza jinai kutokana na mghafala ulioko katika ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 1430240    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/07/16

Pendekezo la Rais Rouhani
Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewatumia salamu za pongezi viongozi wa nchi zote za Kiislamu duniani kwa munasaba wa kuwadia Mwezi Mtukufu wa Ramadhani ambapo amewataka wautangaze mwezi wa Ramadhani mwaka huu kuwa ni 'Ramadhani ya Amani na Rahma'.
Habari ID: 1423410    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/06/28

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amesema, umoja na kuundwa umma ulio shikamana ni hitajio la dharura katika Ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 1411477    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/05/27

Kikao cha Kwanza cha Jumuiya ya Kimatiafa ya Wafanyabiashara wa Nchi za Kiislamu kinafanyika katika kisiwa cha Kish kusini mwa Iran.
Habari ID: 1402843    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/05/04

Katika vipindi mbali mbali vya historia, wanafikra wameweza kunawiri katika nyuga za utamaduni na sayansi na hivyo kuwafungulia wanaadamu wengi njia ya nuru na saada.
Habari ID: 1402070    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/05/02

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, kuuletea madhara mshikamano na kuzusha mizozo baina ya Waislamu wa Kishia na Kisunni ni moja ya vithibitisho vya kukufuru neema za Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 1397724    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/04/20

Rais Rouhani wa Iran
Rais Hassan Rouhani wa Iran ametoa wito kwa nchi za Kiislamu kudumisha umoja ili kuweza kukabiliana na vitisho visivyo na kifani.
Habari ID: 1376952    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/02/18