TEHRAN (IQNA)- Mwanzilishi mwenza wa kundi Taliban na sasa naibu waziri mkuu wa Afghanistan ametoa taarifa ya sauti Jumatatu akisema alikuwa hai na mzima baada ya habari za kifo chake kuenea kwenye mitandao ya kijamii.
Habari ID: 3474293 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/13