IQNA – Hafla ya kila mwaka ya Idara ya Qur’an Tukufu na Sayansi Zake kwa ajili ya kuwaheshimu wanafunzi wa Qur’an imefanyika katika mji mkuu wa Qatar, Doha.
Habari ID: 3480870 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/29
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitizia wajibu wa kulelewa kizazi cha vijana wa Iran katika msingi wa kuwafanya wajitegemee na wapende kuwa na heshima ya kidini na kusimama imara kupambana na madola ya kibeberu.
Habari ID: 3470287 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/03
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema haafiki mazungumzo wakati kunakuwepo vitisho na hivyo wakuu wa sera za kigeni Iran na wanaoshiriki katika mazungumzo wanapaswa kulinda na kuzingatia kwa kina misingi na mistari myekundu.
Habari ID: 3269139 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/07