iqna

IQNA

darchei
TEHRAN (IQNA)- Hujjatul Islam Sayyid Muhammad Javad Mousavi Darchei, qarii na mwalimu wa Qur’ani nchini Iran akiwa safarini nchini Syria alitembelea kaburi la Bilal Habashi , Radhi za Mwenyezi Mungu Ziwe Juu Yake, na akiwa hapo akapata taufiki ya kuadhini.
Habari ID: 3474312    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/19