Mafundisho ya Qur'ani
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, lengo la adui la kuzusha vita vya kisaikolojia katika upande wa masuala ya kijeshi ni la kuzitia hofu nyoyo za wananchi wa Iran lakini kama inavyotufundisha Qur'ani Tukufu, kurudi nyuma na kulegeza kamba kizembe katika medani yoyote iwe ya kijeshi au medani nyingine za kisiasa, kipropaganda na kiuchhumi, kunaendana na ghadhabu za Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3479281 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/15
Taazia
IQNA-Mapema leo Alkhamisi asubuhi, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesalisha umati mkubwa wa Waislamu waliojitokeza katika Sala ya Maiti ya Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS Ismail Haniya na mlinzi wake. Sala hiyo ya Maiti imesaliwa katika viwanja vya Chuo Kikuu cha Tehran.
Habari ID: 3479209 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/01
Muqawama
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa ujumbe maalumu baada ya kuuawa shahidi Ismail Haniya Mkuu wa Tawi la Kisiasa la HAMAS akisisitiza kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel umejiandalia uwanja wa kuadhibiwa vikali.
Habari ID: 3479207 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/31
Kadhia ya Palestina
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amepongeza ushujaa wa wananchi wanaodhulumiwa na wenye nguvu wa Ghaza na kusema: Leo bendera ya juu kabisa ya Uislamu iko mikononi mwa watu wa Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3479202 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/30
Ayatullah Sayyid Ali Khamene
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameyapongeza maandamano yanayoiunga mkono Palestina katika mataifa ya Magharibi kuwa ni "mwanga wa matumaini unaotia moyo."
Habari ID: 3479077 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/06
IQNA - Qari wa Iran Mohammad Bahrami, msomaji mahiri na mfanyakazi wa haki wa mkoa wa Lorestan, alisoma aya ya 74 hadi 78 za Surah Mubaraka wakati wa kikao cha maafisa wa mahakama na Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi jana asubuhi tarehe 22 mwezi Juni 2024.
Habari ID: 3479004 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/23
Ujumbe wa Hija
IQNA-Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu ameashiria jinai zinazofanywa na utawala katili na unaoelekea kusambaratika wa Israel huko Gaza na kusema: Suala la kujibari na kutangaza hasira dhidi ya washirikina ni kubwa zaidi mwaka huu kuliko huko nyuma.
Habari ID: 3478968 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/15
Hija
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema amali za ibada tukufu ya Hija zinawatia hofu na wasiwasi mkubwa maadui.
Habari ID: 3478966 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/14
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Seyyed Ali Khamenei amebainisha kuwa maandamano yanayoongozwa na wanafunzi wa vyuo vikuu vya Marekani katika kuunga mkono Palestina nni yamegeuza vyuo vikuu hivyo kuwa tawi la mrengo wa Muqawama (mapambano)
Habari ID: 3478933 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/05
Hauli ya Imam Khomeini
IQNA- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei leo mjini Tehran amehutubu katika maadhimisho ya kumbukumbu ya miaka 35 tangu aage dunia Imam Khomeini (MA), mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu na kusema tukio chungu la kumpoteza rais wa nchi na taathira zake ni tukio muhimu zaidi nchini Iran katika mwaka mmoja uliopita.
Habari ID: 3478922 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/03
Nasaha
IQNA - Mwandishi wa Syria na mchambuzi wa masuala ya kisiasa ameitaja barua ya hivi karibuni ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Seyed Ali Khamenei kwa wanafunzi wa vyuo vikuu nchini Marekani kuwa "ni muhimu sana na yenye ushawishi mkubwa."
Habari ID: 3478920 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/02
Diplomasia ya Kiislamu
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, muqawama ni utambulisho mzuri na bora wa Syria na akaeleza kwamba, nafasi maalumu iliyonayo Syria katika eneo ni kutokana na utambulisho huu na sifa hiyo muhimu inapaswa kuhifadhiwa.
Habari ID: 3478904 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/30
Nasaha
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameashiria mwamko wa wanafunzi wa Vyuo Vikuu vya Marekani dhidi ya utawala katili wa Israel na kusisitiza kuwa, wanachuo hao wa Marekani wamesimama katika upande sahihi wa historia huku akiwanasihi wajifunza Qur'ani Tukufu
Habari ID: 3478903 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/30
Mtazamo
IQNA - Kongamano limefanyika katika Maonesho ya 35 ya Kimataifa ya Vitabu ya Tehran (TIBF) kujadili barua mbili za Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Seyed Ali Khamenei kwa vijana wa Magharibi.
Habari ID: 3478827 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/15
Hija
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema, kwa kuzingatia Aya za Qur'ani Tukufu na kumbukumbu ya jina lililobarikiwa la Nabii Ibrahim (AS), ibada ya Hija ya mwaka huu inapaswa kuwa zaidi ya Hija ya kila mwaka, na inabidi iwe Hija na kutangazwa kujitenga au kujibari na adui wa Waislamu, Mzayuni mtenda uhalifu na wafuasi wake wa nchi za Marekani, Uingereza na Wamagharibi kwa ujumla.
Habari ID: 3478791 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/08
Hija
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema, kwa kuzingatia Aya za Qur'ani Tukufu na kumbukumbu ya jina lililobarikiwa la Nabii Ibrahim (AS), ibada ya Hija ya mwaka huu inapaswa kuwa zaidi ya Hija ya kila mwaka, na inabidi iwe Hija na kutangaza kujitenga au kujibari na adui wa Waislamu, Mzayuni mtenda uhalifu na wafuasi wake.
Habari ID: 3478779 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/06
Idul Fitr
IQNA - Makumi ya maelfu ya waumini leo Jumatano asubuhi walikusanyika kwenye Uwanja wa Swala wa Mosalla Imam Khomeini katika mji mkuu wa Iran, Tehran, kwa ajili ya Sala ya Idul Fitr inayoashiria kumalizika mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3478667 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/10
Kadhia ya Gaza
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, Ghaza ni suala ambalo haliwezi kufumbiwa macho kwani ndiyo kadhia kuu ya Ulimwengu wa Kiislamu hivi sasa, hivyo kila mmoja wetu anapaswa kutekeleza vizuri majukumu yake kuhusu Ukanda wa Ghaza.
Habari ID: 3478666 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/10
Sikukuu ya Idul Fitr
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei anasema utawala wa Kizayuni wa Israel "lazima uadhibiwe na kutiwa adabu" kwa shambulio lake baya dhidi ya ubalozi mdogo wa Iran katika mji mkuu wa Syria, Damascus.
Habari ID: 3478662 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/10
Siku ya Quds
IQNA-Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema siku ya Quds mwaka huu itakuwa uasi wa kimataifa dhidi ya utawala ghasibu wa Israel na kuongeza kuwa: "Utawala wa Kizayuni wa Israel utazabwa kibao usoni kutokana na shambulio lake dhidi ya majengo ya ubalozi mdogo wa Iran katika mji mkuu wa Syria, mapema wiki hii."
Habari ID: 3478630 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/04