iqna

IQNA

IQNA-Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei ameionya Marekani dhidi ya kutumia lugha ya vitisho dhidi ya Iran.
Habari ID: 3480412    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/22

IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema, ombi la Rais Donald Trump wa Marekani kwamba anataka kufanya mazungumzo na Iran si lolote bali ni jaribio la "kuhadaa maoni ya umma duniani" na kutaka kuonyesha kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ni upande ambao hauko tayari kutoa fursa nyingine kwa diplomasia.
Habari ID: 3480365    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/13

IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Seyyid Ali Khamenei, amesema kuwa sisitizo la baadhi ya madola ya kibabe juu ya kuandaa mazungumzo na Iran hakulengi kutatua matatizo.
Habari ID: 3480330    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/09

IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatollah Ali Khamenei, leo asubuhi (Jumatano), katika Wiki ya Rasilimali Asili na Siku ya Upandaji Miti, amepanda miche mitatu ya miti.
Habari ID: 3480309    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/05

IQNA – Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Seyed Ali Khamenei amesema kuwa tiba ya magonjwa yote ya kiroho na kimaadili ya binadamu inapatikana ndani ya Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3480292    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/03

Muqawama
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametuma salamu na ujumbe maalumu kwa mnasaba wa kufanyika mazishi na maziko ya Mwanajihadi mkubwa Shahidi Sayyid Hassan Nasrullah na Shahidi Sayyid Hashem Safiyyuddin na kusisitiza kuwa: "adui ajue kwamba, Muqawama wa kukabiliana na ughasibu, dhulma na uistikbari si wa kumalizika; na kwa idhini ya Allah utaendelea hadi ufikie lengo ulilokusudia".
Habari ID: 3480256    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/23

IQNA-Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, akiwapongeza wapiganaji wa Muqawama kwa ushindi wao katika Ukanda wa Gaza, amesisitiza kwamba kazi kubwa ya viongozi na wapiganaji wa Muqawama wa Palestina ipo katika "umoja na mshikamano" na "kusimama imara" dhidi ya adui, kuendesha mchakato mgumu wa mazungumzo, pamoja na uvumilivu na ustahimilivu wa wananchi, ambavyo vimeinua heshima ya Muqawama katika eneo.
Habari ID: 3480233    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/18

Mapinduzi ya Kiislamu
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amelipongeza taifa la Iran kwa kufikisha "ujumbe wa umoja" kwa jamii ya kimataifa katika maadhimisho ya miaka 46 ya Ushindi wa Mapinduzi ya Kihistoria ya Kiislamu ya Iran ya mwaka 1979.
Habari ID: 3480206    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/13

Kadhia ya Palestina
IQNA-Baada ya kutangazwa makubaliano ya usitishaji vita huko Gaza, Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei ametuma ujumbe kwenye mitandao ya kijamii na kuandika: Subira na kusimama kidete kwa wananchi na Muqawama (mapambano ya Kiislamu) wa Wapalestina vimeulazimisha utawala wa Kizayuni kurudi nyuma.
Habari ID: 3480061    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/16

Diplomasia ya Muqawama
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, amesisitizia wajibu wa kupambana na uvamizi wa Marekani nchini Iraq sambamba na kuimarisha kikosi cha kujitolea cha wananchi wa Iraq maarufu kwa jina la al-Hashd al-Shaabi.
Habari ID: 3480022    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/09

Siasa
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema kuwa, Marekani mara zote imekuwa ikifanya makosa katika mtazamo wake dhidi ya Iran kwa miongo kadhaa sasa.
Habari ID: 3480017    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/08

Ahul Bayt (AS)
IQNA-Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Seyyed Ali Khamenei ameashiria umuhimu wa Imam Jawad (AS), Imam Hadi (AS) na Imam Askari (AS) katika historia ya Uislamu.
Habari ID: 3480005    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/05

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
IQNA-Ukurasa wa lugha ya Kiingereza wa Ofisi ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Ali Khamenei, katika mtandao wa kijamii wa X umechapisha ujumbe wake kwa mnasaba wa kumbukumbu ya kuzaliwa Nabii Isa Masih (AS) ambaye ni maarufu kama Yesu miongoni mwa Wakristo.
Habari ID: 3479955    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/26

Kiongozi Muadhamu
IQNA-Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Seyyed Ali Khamenei amepuuzilia mbali madai kwamba Iran imefungiwa njia ya kufikia "vikosi vyake vya niaba" katika eneo, na kusisitiza kuwa Jamhuri ya Kiislamu haina wala haihitaji vikosi hivyo ili kufikia malengo yake
Habari ID: 3479935    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/22

Muqawama
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema kuwa Marekani na washirika wake wanakoseka kikamilifu wanapodhani kwamba Muqawama umeishiwa nguvu na umefika ukingoni.
Habari ID: 3479913    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/17

Muqawama
IQNA-Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Seyyed Ali Khamenei anasema kilichotokea nchini Syria ni "njama ya pamoja ya Marekani na utawala wa Kizayuni", ingawa nchi jirani pia ilishiriki.
Habari ID: 3479892    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/11

Maombolezo
IQNA – Kiongozi Muadhamu  wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Seyed Ali Khamenei ameshiriki katika hafla ya maombolezo ya kukumbuka kufa shahidi Bibi Fatima Zahra (SA).
Habari ID: 3479853    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/04

Ulindi
IQNA-Amiri Jeshi Mkuu wa Vikosi vya Ulinzi vya Iran amesema, kuongeza utayari na uwezo wa kivita ndilo jukumu muhimu zaidi la vikosi vya ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu.
Habari ID: 3479819    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/27

Jinai za Israel
IQNA-Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei ametoa wito wa kuhukumiwa kifo Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel, Benjamin Netanyahu, ambaye waranti ya kukamatwa kwake imetolewa na Mahakama ya kimataifa ya Uhalifu (ICC) huku utawala huo ukiendeleza mauaji ya kimbari ya utawala huo ghasibu huko Gaza na nchini Lebanon.
Habari ID: 3479809    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/25

Muqawama
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa ujumbe wa maneno kwa ajili ya wananchi na viongozi wa Lebanon walioko kwenye vita hivi sasa na kuwaambia kuwa, sisi hatuna tofauti na nyinyi, tuko pamoja nanyi na tutaendelea kuwa pamoja nanyi.
Habari ID: 3479778    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/19