TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) Ismail Haniya amesema rais Joe Biden wa Marekani na Naftali Bennet waziri mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel hawaafiki utatutzi wowote wa kisiasa wa kadhia ya Palestina.
Habari ID: 3474365 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/30