iqna

IQNA

ajinabi
TEHRAN (IQNA)- Raia wa Sudan wanaendelea kufanya maandamano wakipinga uingiliaji wa madola ya kigeni au ajinabi katika masuala ya ndani ya nchi yao na wamemtaka mjumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa kuondoka nchini humo.
Habari ID: 3474858    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/27

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema uingiliaji na uwepo wa askari vamizi wa Marekani katika eneo la Asia Magharibi (Mashariki ya Kati) ni chanzo cha mfarakano na uharibifu katika kanda hii.
Habari ID: 3474375    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/03