iqna

IQNA

mtume muhammad saw
Umoja wa Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Rais wa zamani wa Afghanistan Hamid Karzai anasema kupambana na itikadi kali na ugaidi ni suluhisho la kivitendo la kuimarisha umoja katika ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 3475910    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/10

Wiki ya Umoja wa Kiislamu
TEHRAN (IQNA)-Mkutano wa 36 wa kimataifa wa Umoja wa Kiislamu unatarajiwa kufanyika wiki ijayo hapa jijini Tehran kwa kuhudhuriwa na makumi ya shakhsia wa kidini wa ndani na nje ya nchi kwa mnasaba wa maadhimisho ya Wiki ya Umoja.
Habari ID: 3475907    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/10

Mtume Muhammad SAW
TEHRAN (IQNA) – Maisha ya Mtume Muhammad SAW yamejaa mafunzo kwa wale wanaotafuta mwongozo wa kimaadili.
Habari ID: 3475906    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/10

Maulid ya Mtume Muhammad SAW
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi wa harakati ya muqawama ya Ansarullah ya Yemen alitoa wito kwa maafisa wa nchi za Magharibi kuacha kuivunjia heshima Qur'ani, Mtume Mtukufu (SAW) na matukufu mengine ya Kiislamu katika nchi hizo.
Habari ID: 3475902    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/09

Waislamu wa Yemen
TEHRAN (IQNA) – Wanazuoni wa Yemen wamesisitiza haja ya kuimarisha umoja wa Kiislamu, wakibainisha kwamba sikukuu ya kuzaliwa kwa Mtukufu Mtume (SAW) ni tukio la kukuza umoja.
Habari ID: 3475854    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/29

Maulid ya Mtume Muhammad SAW
TEHRAN (IQNA) – Waziri Mkuu wa Pakistani ametuma salamu za kheri na pongezi kwa dunia nzima, hususan Umma wa Kiislamu, mwanzoni mwa mwezi mtukufu wa Rabi Al-Awwal.
Habari ID: 3475849    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/28

Mtume Muhammad SAW
TEHRAN (IQNA) - Mashirika na vikundi vya Kiislamu huko Mumbai nchini India vimeanza kampeni ya kukuza mafundisho ya Mtume Muhammad (SAW) katika mnasaba wa kumbukumbu ya kuzaliwa kwake.
Habari ID: 3475848    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/28

Fikra za Kiislamu
Qur'ani Tukufu inataja kuota na athari zake kama suala muhimu, ikigusia juu yake katika aya kadhaa.
Habari ID: 3475842    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/26

Kumbukumbu ya kuaga dunia Mtume Muhammad SAW
IQNA-Mwezi 28 Mfunguo Tano Safar, inasadifiana na siku ya kukumbuka alipofariki dunia Bwana Mtume Muhammad SAW.
Habari ID: 3475833    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/24

Shughuli za Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Vituo vitano vya kusoma Qur'ani vimeanzishwa katika mji wa Najaf nchini Iraq huku waumini wakijitayarisha kushiriki katika maombolezo kwa mnasaba wa kukumbuka siku ya kuaga dunia Mtume Muhammad (SAW) katika siku zijazo.
Habari ID: 3475829    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/23

Fikra za Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Katika Qur’ani Tukufu na hadithi za Mtukufu Mtume Muhammad (SAW) ndoto na athari zake zimetajwa kuwa ni muhimu.
Habari ID: 3475810    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/19

Qur'an Tukufu Inasemaje/28
TEHRAN (IQNA) – Dini ambazo wafuasi wake wana imani ya Mwenyezi Mungu zina mambo mengi yanayofanana katika misingi lakini pia dini hizi zina tofauti au hitilafu.
Habari ID: 3475753    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/08

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Duru ya awali ya Mashindano ya 39 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran itafanyika katika mji mtakatifu wa Mashhad kaskazini mashariki mwa Iran.
Habari ID: 3475736    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/05

Turathi za Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Misikiti mitano ya kihistoria inayohusiana na zama za Mtume Muhammad (SAW) katika eneo la Makka itakarabatiwa.
Habari ID: 3475715    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/01

Fikra za Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Mwanadamu daima yuko katika kutafuta furaha na wokovu na huwa anapouona wokovu huu katika viwango tofauti vya mtu binafsi, familia na kijamii.
Habari ID: 3475644    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/18

Ibada
TEHRAN (IQNA) – Sala ni moja ya nguzo za Uislamu na Waislamu wanaamini kuwa ibada hii ni daraja linalowaunganisha na Mwenyezi Mungu SWT. Kwa hivyo, Sala ni muhimu sana kwa kila Muislamu.
Habari ID: 3475610    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/11

Qur'ani Tukufu Inasemaje /22
TEHRAN (IQNA) – Baada ya tukio la Mubahala lililotokea kufuatia msisitizo wa Wakristo wa Najran juu ya wao kuwa kwenye haki, aya za Qur’an ziliteremshwa zinazotaka mazungumzo na kuzingatia mambo nukta za pamoja. Hii inaonyesha kwamba mtazamo wa Qur'an ambao unatilia mkazo mwingiliano na mazungumzo.
Habari ID: 3475540    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/25

Historia ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) – Kuna msikiti karibu na mji mtakatifu wa Madina unaoitwa Msikiti wa Sayed Al-Shuhada ambao ni eneo muhimu katika historia ya Kiislamu.
Habari ID: 3475537    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/25

Leo Jumapili tarehe 24 Dhul-Hijjah 1443 Hijiria inayosadifiana na tarehe 24 Julai 2022, ni siku muhimu ya Mubahalah katika historia ya Uislamu.
Habari ID: 3475536    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/24

Idul Ghadir
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameidhinisha pendekezo la Jaji Mkuu wa Idara ya Mahakama ya Iran, Gholam Hossein Mohseni Ejei la kupunguziwa vifungo au kuachiwa huru wafungwa zaidi ya 2,000 wa Kiirani.
Habari ID: 3475516    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/18