iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA) - Waislamu katika baadhi ya maeneo ya dunia leo tarehe 28 Safar wameshiriki katika maombolezo, simanzi na huzuni kubwa kwa mnasaba wa kukumbuka tukio chungu zaidi ya yote la kuaga dunia mbora wa Mitume wa Mwenyezi Mungu, Muhammad bin Abdullah SAW.
Habari ID: 3474384    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/05

TEHRAN (IQNA)- Mchora vibonzo mkaidi wa Sweden, Lars Vilks, ambaye amekuwa akilindwa na kupewa usalama na maafisa wa polisi wa nchi hiyo tokea mwaka 2007 baada ya kuchora vibonzo vya kumdhalilisha na kumvunjia heshima Mtume Muhammad (SAW), amekufa katika ajali mbaya ya barabarani.
Habari ID: 3474382    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/04

TEHRAN (IQNA)- Mchoraji mahiri Muirani Hassan Rouholamin amechora mchora katika Msikiti wa Nasir al-Mulk ulio Shiraa kama sehemu ya harakati za sanaa na fashihi za 'Kongamano la Kimataifa la Muhammad SAW, Mtume wa Rahma."
Habari ID: 3474086    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/10

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, sikukuu kubwa ya Mab’ath na kumbukumbu ya kubaathiwa na kupewa Utume Mtume Muhammad SAW ni ya wapigania uadilifu kote ulimwenguni.
Habari ID: 3473726    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/11

TEHRAN (IQNA) – Siku kama ya leo miaka 1455 iliyopita, Mtume Mtukufu Muhammad al- Mustafa SAW alibaathiwa yaani kupewa Utume na Mwenyezi Mungu. Kipindi hicho Mtume Muhammad- Amani ya Mwenyezi Mungu Iwe Juu yake na Kizazi Chake Kitoharifu- (SAW) alikuwa na umri wa miaka 40.
Habari ID: 3473725    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/11

TEHRAN (IQNA) – Waziri wa zamani wa utamaduni nchini Senegal amerejesha nishani ya juu zaidi ya Ufaransa ya Légion d'honneur aliyokuwa ametunukiwa.
Habari ID: 3473363    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/15

TEHRAN (IQNA) - Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa amedai kuwa Paris inaheshimu dini ya Uislamu na kwamba Waislamu ni sehemu ya jamii ya Ufaransa.
Habari ID: 3473343    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/09

TEHRAN (IQNA) - Waislamu katika nchi mbali mbali duniani wanaendelea kuandamana kulaani vikali kitendo cha kuvunjiwa heshima Mtume Muhammad SAW na hatua ya Rais Emmanuel Macron kuunga mkono kitendo hicho.
Habari ID: 3473339    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/08

TEHRAN (IQNA)- Sheikh Mkuu wa al Azhar nchini Misri amekosoa matamshi ya chuki na hujuma ya Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa dhidi ya Uislamu na kutoa wito wa kutungwa sheria inayotambua chuki na uhasama dhidi ya Waislamu kuwa ni uhalifu.
Habari ID: 3473327    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/04

TEHRAN (IQNA) - Wimbi kali la maandamano ya kulaani matamshi yaliyotolewa na Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa akitetea matusi na kuvunjiwa heshima Mtume Muhammad SAW Nchini humo limeendelea kushuhudiwa katika pembe mbalimbali za dunia.
Habari ID: 3473325    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/03

TEHRAN (IQNA)- Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewatumia ujumbe marais wa nchi za Kiislamu akiwapongeza kwa mnasaba wa kuadhimisha Maulidi na siku ya kuzaliwa Mtume wa mwisho wa Mwenyezi Mungu na Nabii wa rehma, upendo na amani, Muhammad SAW.
Habari ID: 3473324    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/03

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika Hotuba ya Miladj un Nabii SAW
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amezungumzia siasa za kimantiki za kusimama kidete kukabiiliana na sera za kibabe za Marekani na kusema kuwa, sera zenye mahesabu za Jamhuri ya Kiislamu hazibadiliki kwa kuondoka kiongozi na kuja mwingine madarakani huko Marekani.
Habari ID: 3473323    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/03

Mwanazuoni wa Lebanon
TEHRAN (IQNA) – Mwanazuoni wa ngazi za juu nchini Lebanon amesema umoja wa Waisalu ni sera bora zaidi katika kukabiliana na maadui wanaouhujumu Uislamu na kuvunjia heshima matukufu yake.
Habari ID: 3473320    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/02

TEHRAN (IQNA) - Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa ameonekana kuanza kusalimu amri mbele ya mashinikizo ya Waislamu na sasa amelegeza msimamo wake mkali wa awali wa matamshi yaliyojaa chuki dhidi ya Uislamu.
Habari ID: 3473319    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/02

TEHRAN (IQNA)- Rais Joko Widodo wa Indonesia amelaani kauli ya Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa dhidi ya Uislamu na kusema mtawala huyo amewatusi Waislamu wote duniani.
Habari ID: 3473316    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/01

TEHRAN (IQNA)- Mfunguo Sita Rabiul Awwal ni mwezi ambao Waislamu kote duniani wanashereheka siku aliyozaliwa Mtume Muhammad SAW, siku ambayo ni maarufu kama Maulidi.
Habari ID: 3473314    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/31

Sayyid Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA) Kiongozi wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amelaani hujuma ya hivi karibuni ya kigaidi Ufaransa na wakati huo huo pia amelaani matamshi ya chuki dhidi ya Uislamu ya Rais Emmanuel Macron wa nchi hiyo.
Habari ID: 3473313    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/31

Spika wa Bunge la Iran
TEHRAN (IQNA- Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema kitendo chochote cha kumvunjia heshima Mtume Muhammad SAW maana yake ni kuwavunjia heshima Mitume wote na vitabu vya mbinguni.
Habari ID: 3473311    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/30

Wiki ya Umoja wa Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Mkutano wa 34 wa kimataifa wa Umoja wa Kiislamu umeanza kufanyika mjini Tehran ukihudhuriwa na shakhsia 167 wa ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 3473310    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/30

Kiongozi wa Ansarullah
TEHRAN (IQNA)-Katibu Mkuu wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema rais Emmanuel Macron wa Ufaranmsa ni kikaragosi kinachochezeshwa na Wazayuni kichukue hatua za kuutusi na kuuvunjia heshima Uislamu.
Habari ID: 3473309    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/30