Mwanazuoni wa Lebanon
TEHRAN (IQNA) – Mwanazuoni wa ngazi za juu nchini Lebanon amesema umoja wa Waisalu ni sera bora zaidi katika kukabiliana na maadui wanaouhujumu Uislamu na kuvunjia heshima matukufu yake.
Habari ID: 3473320 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/02
TEHRAN (IQNA) - Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa ameonekana kuanza kusalimu amri mbele ya mashinikizo ya Waislamu na sasa amelegeza msimamo wake mkali wa awali wa matamshi yaliyojaa chuki dhidi ya Uislamu.
Habari ID: 3473319 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/02
TEHRAN (IQNA)- Rais Joko Widodo wa Indonesia amelaani kauli ya Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa dhidi ya Uislamu na kusema mtawala huyo amewatusi Waislamu wote duniani.
Habari ID: 3473316 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/01
TEHRAN (IQNA)- Mfunguo Sita Rabiul Awwal ni mwezi ambao Waislamu kote duniani wanashereheka siku aliyozaliwa Mtume Muhammad SAW, siku ambayo ni maarufu kama Maulidi.
Habari ID: 3473314 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/31
Sayyid Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA) Kiongozi wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amelaani hujuma ya hivi karibuni ya kigaidi Ufaransa na wakati huo huo pia amelaani matamshi ya chuki dhidi ya Uislamu ya Rais Emmanuel Macron wa nchi hiyo.
Habari ID: 3473313 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/31
Spika wa Bunge la Iran
TEHRAN (IQNA- Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema kitendo chochote cha kumvunjia heshima Mtume Muhammad SAW maana yake ni kuwavunjia heshima Mitume wote na vitabu vya mbinguni.
Habari ID: 3473311 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/30
Wiki ya Umoja wa Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Mkutano wa 34 wa kimataifa wa Umoja wa Kiislamu umeanza kufanyika mjini Tehran ukihudhuriwa na shakhsia 167 wa ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 3473310 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/30
Kiongozi wa Ansarullah
TEHRAN (IQNA)-Katibu Mkuu wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema rais Emmanuel Macron wa Ufaranmsa ni kikaragosi kinachochezeshwa na Wazayuni kichukue hatua za kuutusi na kuuvunjia heshima Uislamu.
Habari ID: 3473309 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/30
Rais Hassan Rouhani wa Iran
TEHRAN (IQNA) - Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, kama nchi za Magharibi, za Ulaya na Ufaransa ni wakweli katika madai yao kwamba zinapigania amani, udugu, usalama na utulivu katika jamii ya mwanadamu basi zinapaswa kuacha kuingilia masuala ya ndani ya Waislamu.
Habari ID: 3473307 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/29
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu akiwahutubu vijana Wafaransa
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameeleza kushangazwa kwake na undumakuwili wa Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa kwa kulikingia kifua jarida la Charlie Hebdo la nchini hiyo ya Ulaya kwa kuchapisha tena vibonzo vya kumvunjia heshima Mtume Muhammad SAW, kwa kisingizio cha uhuru wa kujieleza.
Habari ID: 3473306 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/29
TEHRAN (IQNA)- Baada ya kuchapishwa katuni zinazommvunjia heshima Mtume Muhammad SAW nchini Ufaransa na baada ya hapo matamshi ya Rais Macron wa nchi hiyo kutoa matamshi yenye chuki dhidi ya Uislamu, Waislamu kote duniani wameandamana kulaani vitendo hivyo huku wakiitaka bidhaa za Ufaransa zisusiwe.
Habari ID: 3473305 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/28
TEHRAN (IQNA) – Msikiti mmoja katika wilaya ya Vernon kaskazini mwa Ufaransa umepokea vitisho vya kushambuliwa huku chuki dhidi ya Uislamu ikishadidi nchini humo.
Habari ID: 3473304 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/28
TEHRAN (IQNA- Balozi Mdogo wa Ufaransa mjini Tehran, Florent Aydalot, ameitwa katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kukabidhiwa malalamiko ya Iran kuhusu sisitizo la serikali ya Ufanrasa la kuwaunga mkono waliochapisha katuni zilizomvunjia heshima Mtume Muhammad SAW.
Habari ID: 3473299 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/27
TEHRAN (IQNA) -Malalamiko na ukosoaji dhidi ya matamshi yaliyotolewa na Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa akitetea vitendo vya kutusiwa na kuvunjiwa heshima Mtume Muhammad SAW nchini humo unaendelea kupamba moto huku nchi mbalimbali za Kiislamu zikitoa wito wa kuiadhibu Paris kwa kususia bidhaa za Ufaransa.
Habari ID: 3473297 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/26
Spika wa Bunge la Iran
TEHRAN (IQNA) - Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu, Bunge la Iran, amesema nuru ya Mtume Mtukufu wa Uislamu, SAW, haiwezi kuzimwa kwa njama za maadui wa Kiislamu na kwamba njama hizo zitarejea kuwadhuru wao wenyewe.
Habari ID: 3473296 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/26
TEHRAN (IQNA) - Makundi ya kupigania ukombozi Palestina yamemlaani Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa kutokana na hatua yake ya kuunga mkono michoro ya kikatuni yenye kumvunjia heshima Mtume Muhammad SAW.
Habari ID: 3473295 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/25
TEHRAN (IQNA) – Wanawake wawili ambao waliwashambuliwa wanawake wengine Waislamu waliokuwa wamevaa Hijabu mjini Paris, wamefikishwa kizimbani.
Habari ID: 3473289 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/23
TEHRAN (IQNA) – Kituo cha Utamaduni cha Iran huko Pretoria, Afrika Kusini kimepanga mkutano wa umoja wa Kiislamu kwa njia ya intaneti maarufu kama webinar.
Habari ID: 3473285 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/22
TEHRAN (IQNA)- Katika siku za mwisho za Mwezi wa Safar wa mwaka 1422 Hijria Qamaria, ambazo pia ni siku za kukumbuka kifo cha Mtume Muhammad SAW na pia kuuawa shahidi Imam Hassan AS na Imam Ridha AS, Haram Takatifu ya Imam Ridha AS katika mji wa Mashhad, kaskazini mashariki mwa Iran iko katika mazingira ya majonzi na maombolezo.
Habari ID: 3473267 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/17
TEHRAN (IQNA)- Waislamu nchini Pakistan wamependekeza kuwa siku ya kukumbuka kuzaliwa Mtume Muhammad SAW, ambayo ni maarufu kama Maulid, iadhmishwe pia kama ‘Siku ya Kimataifa ya Rehema”.
Habari ID: 3473266 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/16