Tuko katika siku ya 21 ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani ambayo inasadifiana na munasaba wa kukumbuka tukio chungu la kuuawa shahidi Imam Ali bin Abi Twalib AS.
Habari ID: 3470418 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/06/27
Tarehe 27 Rajab 'Mwaka wa 40 wa Ndovu au 'Aamul Fiyl', Muhammad SAW alikuwa ameenda katika milima ya kaskazini mwa Makka kunong'ona na Mola wake.
Habari ID: 3470293 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/04