iqna

IQNA

mtume muhammad saw
TEHRAN (IQNA)- Kongamano la 35 la Kimataifa la Umoja wa Kiislamu limemalizika Jumamosi mjini Tehran baada ya kufanyika kwa muda wa siku tano.
Habari ID: 3474463    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/24

Kwa mnasaba wa Maulid ya Mtume Muhammad SAW
TEHRAN (IQNA)- Wanasayansi watano Waislamu wametunukiwa zawadi ya Tuzo ya Mustafa SAW ya mwanasayansi bora katika Ulimwengu wa Kiislamu mwaka huu wa 2021.
Habari ID: 3474454    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/22

TEHRAN (IQNA)- Msomi mmpja wa Pakistan ameipongeza Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa kuandaa kila mwaka kongamano la kimataifa la umoja wa Kiislamu na kusema hatua hiyo ni huduma kubwa wa Waislamu duniani.
Habari ID: 3474450    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/21

TEHRAN (IQNA)- Mufti Mkuu wa Waislamu wa Croatia amesema, Mkutano wa Umoja wa Kiislamu ni jukwaa la kuelezea hali ya sasa ya nchi za Kiislamu.
Habari ID: 3474448    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/20

TEHRAN (IQNA)- Afisa mwandamizi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas), amesema muqawama au mapambano ndio njia bora zaidi ya kukomboa ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3474447    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/20

TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon Sayyed Hassan Nasrallah ametoa wito kwa Waislamu duniani kuungana ili waweze kukabiliana na njama za maadui.
Habari ID: 3474446    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/20

TEHRAN (IQNA)- Kongamano la 35 la Kimataifa la Umoja wa Kiislamu lilianza Jumanne hapa mjini Tehran na litaendelea kwa muda wa siku tano ambapo wasomi, maulamaa na wanazuoni kutoka nchi Zaidi ya 16 wanahutubu kuhusu masuala mbali mbali ya Umma wa Kiislamu.
Habari ID: 3474445    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/20

Kwa mnasaba wa Maulidi
TEHRAN (IQNA)- Tuko katika siku tukufu za kuadhimisha Maulid ya Mtume Mtukufu wa Uislamu Mohammad al Mustafa SAW, siku ambazo ni maarufu kama Maulidi.
Habari ID: 3474443    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/19

TEHRAN (IQNA)- Mkutano wa 35 wa Kimataifa wa Umoja wa Kiislamu utafanyika Tehran na kushirikisha wasomi 50 maarufu duniani.
Habari ID: 3474429    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/16

TEHRAN (IQNA) – Taasisi ya Darul Iftaa ya Misri imetoa wito kwa Waislamu dunaini kote kuandaa sherehe za kukumbuka kuzaliwa Bwana Mtume Muhammad SAW ambazo ni maarufu kama Maulidi.
Habari ID: 3474415    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/12

Haram Takatifu ya Hadhrat Masouma (SA) katika mji wa Qum nchini Iran siku hizi ni mwenyeji wa mijimuiko ya maombolezo kwa mnasaba wa kukumbuka kuaga dunia Mtume Muhammad SAW na pia kuuawa shahidi wakujuu wake, yaani Imam Hassan Mujtaba AS na Imam Ridha AS.
Habari ID: 3474388    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/06

TEHRAN (IQNA) - Waislamu katika baadhi ya maeneo ya dunia leo tarehe 28 Safar wameshiriki katika maombolezo, simanzi na huzuni kubwa kwa mnasaba wa kukumbuka tukio chungu zaidi ya yote la kuaga dunia mbora wa Mitume wa Mwenyezi Mungu, Muhammad bin Abdullah SAW.
Habari ID: 3474384    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/05

TEHRAN (IQNA)- Mchora vibonzo mkaidi wa Sweden, Lars Vilks, ambaye amekuwa akilindwa na kupewa usalama na maafisa wa polisi wa nchi hiyo tokea mwaka 2007 baada ya kuchora vibonzo vya kumdhalilisha na kumvunjia heshima Mtume Muhammad (SAW), amekufa katika ajali mbaya ya barabarani.
Habari ID: 3474382    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/04

TEHRAN (IQNA)- Mchoraji mahiri Muirani Hassan Rouholamin amechora mchora katika Msikiti wa Nasir al-Mulk ulio Shiraa kama sehemu ya harakati za sanaa na fashihi za 'Kongamano la Kimataifa la Muhammad SAW, Mtume wa Rahma."
Habari ID: 3474086    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/10

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, sikukuu kubwa ya Mab’ath na kumbukumbu ya kubaathiwa na kupewa Utume Mtume Muhammad SAW ni ya wapigania uadilifu kote ulimwenguni.
Habari ID: 3473726    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/11

TEHRAN (IQNA) – Siku kama ya leo miaka 1455 iliyopita, Mtume Mtukufu Muhammad al- Mustafa SAW alibaathiwa yaani kupewa Utume na Mwenyezi Mungu. Kipindi hicho Mtume Muhammad- Amani ya Mwenyezi Mungu Iwe Juu yake na Kizazi Chake Kitoharifu- (SAW) alikuwa na umri wa miaka 40.
Habari ID: 3473725    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/11

TEHRAN (IQNA) – Waziri wa zamani wa utamaduni nchini Senegal amerejesha nishani ya juu zaidi ya Ufaransa ya Légion d'honneur aliyokuwa ametunukiwa.
Habari ID: 3473363    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/15

TEHRAN (IQNA) - Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa amedai kuwa Paris inaheshimu dini ya Uislamu na kwamba Waislamu ni sehemu ya jamii ya Ufaransa.
Habari ID: 3473343    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/09

TEHRAN (IQNA) - Waislamu katika nchi mbali mbali duniani wanaendelea kuandamana kulaani vikali kitendo cha kuvunjiwa heshima Mtume Muhammad SAW na hatua ya Rais Emmanuel Macron kuunga mkono kitendo hicho.
Habari ID: 3473339    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/08

TEHRAN (IQNA)- Sheikh Mkuu wa al Azhar nchini Misri amekosoa matamshi ya chuki na hujuma ya Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa dhidi ya Uislamu na kutoa wito wa kutungwa sheria inayotambua chuki na uhasama dhidi ya Waislamu kuwa ni uhalifu.
Habari ID: 3473327    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/04