Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran amesema: Suala la Ghadir ni kadhia ya kipekee katika historia ya mwanaadamu, na Mwenyezi Mungu hajalipa tukio lolote lile umuhimu mkubwa kuliko tukio la Ghadir Khum.
Habari ID: 3475506 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/15
Sura za Qur'ani /9
TEHRAN (IQNA) – Sura zote ndani ya Qur’ani Tukufu zinaanza na sentensi “Kwa Jina la Mwenyeezi Mungu Mwingi wa Rehema Mwenye Kurehemu” (Bismillah Ar-Rahman Ar-Raheem) isipokuwa Sura At-Tawbah.
Habari ID: 3475414 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/23
Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA)- Jumuiya ya Kimataifa wa Wanazuoni wa Kiislamu (IUMS) umetoa mwito wa kupasishwa sheria ya kujinaisha na kupiga marufuku kuvunjiwa heshima matukufu ya dini mbalimbali duniani.
Habari ID: 3475402 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/20
Hali ya Waislamu India
TEHRAN (IQNA)- Kituo cha Kiislamu cha Al Azhar nchini Misri kimelaani matamshi ya hivi kairbuni ya kumvunjia heshima Mtume SAW katika mdahalo wa televisheni nchini India.
Habari ID: 3475343 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/06
Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA)- Nchi za Kiislamu duniani zimeendelea kulalamikia vikali matamshi dhidi ya Mtume Mutukufu wa Uislamu, Muhammad SAW ambayo yalitolewa katika mdahalo wa Televisheni huko India na kuibua hasira miongoni mwa Waislamu duniani.
Habari ID: 3475342 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/06
TEHRAN (IQNA)- Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imemuita balozi wa India mjini Tehran kulalamikia vikali matamshi dhidi ya Mtume Mutukufu wa Uislamu, Muhammad SAW ambayo yalitolewa katika mdahalo wa televisheni huko India na kuibua hasira miongoni mwa Waislamu duniani.
Habari ID: 3475340 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/06
Qur'ani na kutafakari
TEHRAN (IQNA)- Wito wa kutafakri ni miongoni mwa mawaidha mazito katika dini ya Kiislamu na ni ya thamani na muhimu sana kiasi kwamba Mtume Mtukufu Muhammad (SAW) amesema: “Saa ya kufikiri ina thamani zaidi kuliko miaka 60 ya ibada bila kufikiri”.
Habari ID: 3475309 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/30
Mtume Muhammad SAW amesema:
Kutafuta elimu ni faradhi kwa kila Muislamu. Mwenyezi Mungu anawapenda wanaotafuta elimu.
Usul al Kafi Juzuu ya 1, Uk. 30
Habari ID: 3475287 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/24
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, Marekani ni utawala wa kimafia na kwamba, Ukraine imekuwa mhanga wa siasa za utawala huo.
Habari ID: 3474989 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/01
TEHRAN (IQNA)- Tarehe 27 Rajab ndiyo siku aliyobaathiwa na kupewa utume Nabii Muhammad bin Abdullah SAW kwa ajili ya kuwaongoza wanadamu katika njia iliyonyooka. Mtukufu huyo wa daraja alikuwa anapitisha mwaka wa arubaini wa umri wake uliojaa baraka na katika miaka yote hiyo watu walikuwa wakimpongeza kwa ubora wa tabia na uaminifu wake.
Habari ID: 3474988 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/28
TEHRAN (IQNA) - Bibi Fatima Zahra SA binti mtukufu wa Bwana Mtume SAW na mwanamke bora duniani na akhera ni mwanamke ambaye ni kigezo na ruwaza njema na katika kipindi hiki Waislamu kote duniani wanakumbuka kufa shahidi mtukufu huyo.
Habari ID: 3474767 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/05
TEHRAN (IQNA)- Waziri Mkuu wa Pakistan Imran Khan ameunga mkono msimamo wa Rais Vladimir Putin wa Russia ambaye amepinga wale wanaomvunjia heshima Mtume Muhammad SAW.
Habari ID: 3474726 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/26
TEHRAN (IQNA)- Rais Vladimir Putin wa Russia amewakosoa vikali wanaomvunjia heshima Mtume Muhammad SAW na kusema kitendo kama hicho cha kutusi matukufu ya wengine hakiwezi kuhalalishwa kwa kisingizo cha uhuru wa maoni.
Habari ID: 3474718 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/24
TEHRAN (IQNA)- Serikali ya Singapore imetangaza kupiga marufuku kitabu ambacho kina taswira zinazomvunjia heshima Mtume Muhammad SAW.
Habari ID: 3474506 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/02
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema Waislamu hawapaswi kuungana na kusimama pamoja wakati wa matukio fulani maalumu pekee, bali wanapaswa kushirikiana nyakati zote na kustawi pamoja, kwani hilo ni jambo la dharura.
Habari ID: 3474468 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/24
TEHRAN (IQNA)- Qarii Mashuhuri wa Misri Sheikh Mahmoud Shahat hivi karibuni alisoma aya za Qur’ani katika sherehe iliyofanyika kwa mnasaba wa Milad un Nabi au maadhimisha ya kukumbuka kuzaliwa Mtume Muhammad SAW.
Habari ID: 3474466 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/24
TEHRAN (IQNA)- Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Sayyid Ebrahim Raisi ametuma salamu maalumu na mkono wa baraka na fanaka kwa viongozi wa nchi za Kiislamu kwa mnasaba wa maadhimisho ya kukumbuka kuzaliwa Mtume wa Mwisho wa Mwenyezi Mungu, Muhammad Muhammad SAW na Wiki ya Umoja wa Kiislamu.
Habari ID: 3474464 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/24
TEHRAN (IQNA)- Kongamano la 35 la Kimataifa la Umoja wa Kiislamu limemalizika Jumamosi mjini Tehran baada ya kufanyika kwa muda wa siku tano.
Habari ID: 3474463 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/24
Kwa mnasaba wa Maulid ya Mtume Muhammad SAW
TEHRAN (IQNA)- Wanasayansi watano Waislamu wametunukiwa zawadi ya Tuzo ya Mustafa SAW ya mwanasayansi bora katika Ulimwengu wa Kiislamu mwaka huu wa 2021.
Habari ID: 3474454 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/22
TEHRAN (IQNA)- Msomi mmpja wa Pakistan ameipongeza Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa kuandaa kila mwaka kongamano la kimataifa la umoja wa Kiislamu na kusema hatua hiyo ni huduma kubwa wa Waislamu duniani.
Habari ID: 3474450 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/21