TEHRAN (IQNA)- Rais wa Zanzibar katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ametoa wito kwa Waislamu kuwatunza na kuwaheshimu walimu wa shule za Qur’ani au Madrassah ili kuwapa motisha na kutambua jitihada zao za kuelimisha na kulea watoto.
Habari ID: 3474562 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/15