iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Habari wa Lebanon George Kordahi amejiuzulu ili kupunguza mgogoro wa nchi yake na Saudi Arabia baada ya kauli yake ya kukosoa vita vya Saudia dhidi ya Yemen.
Habari ID: 3474634    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/03