iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA)- Serikali ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) imetangaza kuwa idara zote za kiserikali nchini humo sasa zitatumia mfumo mpya wa kufanya kazi siku nne na nusu kwa wiki.
Habari ID: 3474652    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/07