iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA)-Msomi maarufu wa Misri Sheikh Salah Abdul Fattah al Khaledi, msomi mwandamizi wa Palestina katika uga wa sayansi za Qurani na tafsiri amefariki dunia.
Habari ID: 3474866    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/29