shaaban

IQNA

IQNA – Baraza la Kisayansi la Qur’ani Tukufu chini ya Idara ya Usimamizi wa Haram Takatifu ya Hadhrat Abbas (AS) liliandaa kikao maalumu cha Qur’ani mjini Najaf kwa mnasaba wa maadhimisho ya kuzaliwa kwa Imam Zaman (Mwenyezi Mungu aharakishe kudhihiri kwake kwa heri).
Habari ID: 3481896    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/07

IQNA – Siku ya kwanza ya mwezi wa Shaaban katika kalenda ya Hijria Qamaria ya mwaka 1447 inatarajiwa kuwa Jumatano.
Habari ID: 3481822    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/20

IQNA – Mkusanyiko wa wafuasi na maashiki wa Imam Mahdi (AS) unaendelea katika Msikiti wa Jamkaran, Qom, Iran, usiku wa Iddi ya Katikati ya Shaaban maarufu kama Nisf Shaaban.
Habari ID: 3480212    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/13

Harakati za Qur'ani
IQNA - Misikiti mikubwa nchini Misri itakuwa imeandaa programu za Khatm al Qur’an (kusoma Quran nzima) katika siku ya kwanza ya mwezi wa Hijri wa Shaaban.
Habari ID: 3478336    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/11

TEHRAN (IQNA)- Haram Takatfu ya Hadhrat Abbas AS katika mji wa Karbala, Iraq ni mwenyeji wa maelfu ya wafanya ziyara kwa munasaba wa Idi za Mwezi wa Shaaban.
Habari ID: 3475033    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/13