iqna

IQNA

yunus
Shakhsia katika Qur'ani Tukufu /36
TEHRAN (IQNA) – Baada ya kuona dalili za adhabu ya Mwenyezi Mungu, watu wa Nabii Yunus walitubu lakini Yunus (AS) hakusubiri na akasisitiza juu ya adhabu yao. Kwa hiyo, kwa amri ya Mwenyezi Mungu, nyangumi akammeza Yunus (AS).
Habari ID: 3476820    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/06

Fikra za Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Qur’ani Tukufu ni muujiza wa milele na iko katika kiwango cha juu cha ufasaha na maudhui. Njia moja ambayo Qur’ani Tukufu inaitumia kuimarisha nyoyo za waumini ni Tahaddi (kukaribisha changamoto).
Habari ID: 3475758    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/09

Kisa cha Manabii
TEHRAN (IQNA) - Kuna visa au hadithi nyingi katika Qur'ani Tukufu kuhusu Mitume ambazo zinaweza kusomwa kwa mitazamo tofauti. Moja ya vipengele ni jinsi manabii walivyozungumza na Mwenyezi Mungu na kubainisha maombi yao.
Habari ID: 3475734    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/04

TEHRAN (IQNA) – Wakati fulani mwanadamu hukumbana na hali ngumu ambazo hakuna mtu anayeweza kumuelewa wala kumsaidia na hivyo huelekea kuomba msaada kwa yule mwenye nguvu ambaye anajua yuko karibu.
Habari ID: 3475264    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/19

Magaidi wa Kiwahabbi wa kundi la kitakfiri la Daesh wamelibomoa na kubakia kifusi kaburi la Nabii Yunus AS lililoko katika mji wa Mosul, nchini Iraq.
Habari ID: 1433174    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/07/25