iqna

IQNA

manabii
Mbinu ya Elimu ya Manabii; Ibrahim / 3
Moja ya vipengele vikuu vya elimu ni familia na Nabii Ibrahim (AS) aliiwekea mkazo mkubwa katika kuwasomesha watoto wake na watu wake.
Habari ID: 3477114    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/07

Kanuni za Imani ya Kiislamu; Utume/1
TEHRAN (IQNA) – Mwenyezi Mungu amewaumba wanadamu na kuwapa akili ili wajifunze njia ya uongofu. Swali ni je, ikiwa kuna akili, kwa nini watu wanahitaji manabii kwa ajili ya mwongozo?
Habari ID: 3476106    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/18

Kisa cha Manabii
TEHRAN (IQNA) - Kuna visa au hadithi nyingi katika Qur'ani Tukufu kuhusu Mitume ambazo zinaweza kusomwa kwa mitazamo tofauti. Moja ya vipengele ni jinsi manabii walivyozungumza na Mwenyezi Mungu na kubainisha maombi yao.
Habari ID: 3475734    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/04

Sura za Qur'ani Tukufu /26
TEHRAN (IQNA) – Mwenyezi Mungu ametuma Mitume wengi kuwaongoza wanadamu na walikumbana na matatizo na masaibu mengi katika njia hii.
Habari ID: 3475649    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/19

Sura za Qur'ani/ 6
TEHRAN (IQNA)- Surah An'am inarejelea kisa cha Nabii Ibrahim AS na utume wa watoto wake na inatanguliza dini ya Kiislamu kuwa ni mwendelezo wa njia na malengo ya mitume waliotangulia.
Habari ID: 3475347    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/07