iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA) – Raia 15, wakiwemo watoto 11 wameuawa Ijumaa nchini Afghanistan baada ya bomu kulipuka katika kikao cha kusoma Qur’ani Tukufu kati mwa Afghanistan.
Habari ID: 3473468    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/18

TEHRAN (IQNA) – Wanajeshi tisa wa Australia wamejiua katika kipindi cha wiki tatu baada ya ripoti kufichua jinai zilizotendwa na Kikosi cha SAS cha Jeshi la Australia nchini Afghanistan.
Habari ID: 3473387    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/23

TEHRAN (IQNA) - Mazungumzo ya kutafuta suluhu na amani kati ya wawakilishi wa serikali ya Afghanistan na kundi la Taliban yalianza jana Jumamosi katika mji mkuu wa Qatar, Doha.
Habari ID: 3473166    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/13

TEHRAN (IQNA)- Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema, matukio yanayojiri leo hii huko Afghanistan ni matokeo ya uingiliaji na uwashaji moto wa vita uliofanywa na Marekani ndani ya nchi hiyo.
Habari ID: 3473081    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/18

TEHRAN (IQNA) - Kundi la Taliban limetoa taarifa na kusema hujuma dhidi ya misikiti nchini Afghanistan zinatekelezwa na mashirika ya kijasusi ya maadui.
Habari ID: 3472861    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/13

TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amefanya mazungumzo ya simu na mawaziri wa mambo ya nje wa Uturuki na Qatar kuhusu matukio ya hivi karibuni kuhusu mgogoro wa kisiasa nchini Afghanistan.
Habari ID: 3472663    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/13

TEHRAN (IQNA) - Rais Muhammad Ashraf Ghani wa Afganistan ametoa amri ya kuachiliwa huru kutoka gerezani wafungwa ambao ni wanachama wa kundi la wanamgambo wa Taliban
Habari ID: 3472558    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/12

TEHRAN (IQNA) - Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Sayyid Abbas Mousavi amelaani shambulio hilo la kigaidi sambamba na kuwafariji wananchi na serikali ya Afghanistan pamoja na familia za waliouawa na kujeruhiwa katika hujuma hiyo.
Habari ID: 3472542    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/07

TEHRAN (IQNA) - Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetoa taarifa kuhusu makubaliano yaliyotiwa saini jana Jumamosi baina ya Marekani na kundi la Taliban la Afghanistan na kusisitiza kuwa, amani ya kudumu nchini humo itapatikana tu kupitia mazungumzo ya Waafghani wenyewe kwa wenyewe na kushirikishwa makundi yote likiwemo la Taliban.
Habari ID: 3472520    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/01

TEHRAN (IQNA) – Serikali ya Afghanistan imesema haina mpango wa kuwaachia huru wafungwa 5,000 wa kundi la Taliban pamoja na kuwa nukta hiyo imetajwa katika mapatano ya Marekani na wanamgambo wa Taliban.
Habari ID: 3472518    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/01

TEHRAN (IQNA) – Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amenukulu aya ya Qur'ani Tukufu kuhusu wakimbizi na akazipongeza Iran na Pakistan kutokana na ukarimu wao katika kuwapa hifadhi wakimbizi wa Afghanistan.
Habari ID: 3472482    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/18

Inna Lillah wa Inna Ilayhi Rajioun
TEHRAN (IQNA) - Waislamu wasiopungua 62 wameuawa na wengine zaidi ya 100 wamejeruhiwa katika hujuma kadhaa za kigaidi zilizotokea leo ndani ya msikiti wakati wa Sala ya Ijumaa katika mkoa wa Nangarhar mashariki mwa Afghanistan.
Habari ID: 3472176    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/10/18

TEHRAN (IQNA)- Rais Mohammad Ashraf Ghani wa Afghanistan ametangaza usitishwaji vita wenye masharti na kundi la wanamgambo wa Taliban kabla ya SIku Kuu ya Idul Adha kuanzia Jumatatu.
Habari ID: 3471637    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/08/20

TEHRAN (IQNA)- Magaidi wakufurishaji wameushambulia msikiti wakati wa Swala ya Ijumaa katika mkoa wa Paktia mashariki mwa Afghanistan na kuua waumini wasiopungua 31 na kujeruhi wengine zaidi ya 80.
Habari ID: 3471619    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/08/04

TEHRAN (IQNA)- Watu wasiopungua 17 wameuawa Jumapili kufuatia mlipuko wa bomu katika msikiti ambao ulikuwa pia unatumika kama kituo cha kuwasajili wapiga kura katika mkoa wa Khost kusini mashariki mwa Afghanistan.
Habari ID: 3471499    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/05/07

TEHRAN (IQNA)- Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Imelaani hujuma za kigaidi zilizolengamisikiti miwili katika miji ya Kabul na Ghor nchini Afghanistan siku ya Ijumaa na kuuawa waumini zaidi ya 80.
Habari ID: 3471226    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/10/22

TEHRAN (IQNA) Magaidi wameuhujumu msikiti wa Waislamu wa madhehebu ya Shia mjini Kabul, Afghanistan na kuuawa waumini 30 waliokuwa katika Sala ya Ijumaa.
Habari ID: 3471142    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/08/26

TEHRAN (IQNA)-Magaidi wametekelza hujuma dhidi ya Msikiti wa Waislamu wa amdhehebu ya Shia huko Herat, Afghanistan na kuuawa waumini 30 waliokuwa katika Sala ya Ishaa Jumanne usiku.
Habari ID: 3471098    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/08/02

TEHRAN (IQNA)-Kundi la kigaidi la Taliban limedai kuhusika na hujuma iliyopelekea watu 35 kuuawa wameuawa na makumi ya wengine kujeruhiwa Jumatatu katika shambulio la kigaidi Kabul, mji mkuu wa Afghanistan.
Habari ID: 3471085    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/25

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, amesema nchi za Waislamu zinapaswa kupewa jukumu la vita dhidi ya ugaidi kwani ugaidi unanasibishwa kimakosa na Uislamu.
Habari ID: 3470332    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/24