iqna

IQNA

waumini
Ibada ya Umrah
TEHRAN (IQNA) – Waumini ambao hawajachanjwa sasa wanaruhusiwa kuingia katika maeneo mawili matakatifu zaidi ya Uislamu ambayo ni Msikiti Mtakatifu wa Makka (Masjid al-Haram) na Msikiti wa Mtume (Al-Masjid an-Nabawi) mjini Madina.
Habari ID: 3475574    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/03