Chuki dhidi ya Uislamu
ISLAMABAD (IQNA) - Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imehimizwa kubuni mikakati ya kukabiliana na chuki inayoongezeka dhidi ya Uislamu duniani kote.
Habari ID: 3477253 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/08
Chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia)
WASHINGTON, DC (IQNA)-Msikiti huko Portales, New Mexico, nchini Marekani umeharibiwa kwa mara ya nne katika kipindi cha siku 10 huku polisi wakipuuza hawajazingatia mashambulio hayo yanayorudiwa, ambayo ni pamoja na kuvunjia heshima Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3477249 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/07
Chuki dhidi ya Uislamu
MAKKA (IQNA) - Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) Jumatano ilitoa wito kwa nchi wanachama wake kufadhili utayarishaji wa vipindi vya radio, televisheni na vyombo vingine vya habari kwa lengo la kupambana na chuki dhidi ya Uislamu.
Habari ID: 3477246 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/06
Rasmus Paludan, mwanasiasa wa Denmark mwenye siasa kali za chuki dhidi ya Uislamu alipigwa marufuku kushiriki katika tamasha la kisiasa la Folkemodet katika kisiwa cha Bornholm.
Habari ID: 3477151 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/17
Chuki dhidi ya Waislamu
TEHRAN (IQNA) –Waislamu katika mji wa kati wa Ujerumani wa Goettingen wameeleza "wasiwasi" baada ya msikiti wao kupokea barua ya vitisho yenye nembo ya Kinazi ya Swastika na nembo nyinginezo za Wanazi mamboleo.
Habari ID: 3477047 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/26
Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) – Mashambulizi mengi dhidi ya Waislamu yameripotiwa karibu na Toronto nchini Kanada (Canada) huku polisi wakikamata watu baada ya uchunguzi.
Habari ID: 3477015 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/19
Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) – Chuki dhidi ya Uislamu imeongezeka mara tatu Marekani tokea hujuma za Septemba11 mwaka 2001 huku wanasiasa wakiitumia wakitumia chuki hiyo kuendeleza ajenda zao wenyewe, shirika la haki za kiraia la kutetea haki za Waislamu Marekani linasema.
Habari ID: 3476971 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/07
Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Biashara wa Kanada, Mary Ng amelaani shambulio la chuki dhidi ya Uislamu lililolenga msikiti mmoja eneo la Markham, Ontario wakati mtu mmoja alipovunjia heshima nakala ya Qur'ani Tukufu na kujaribu kuwashambulia waumini kwa gari.
Habari ID: 3476842 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/10
Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) – Mzee wa miaka 73 alivamiwa na majambazi watatu alipokuwa akielekea nyumbani baada ya kuswali kwenye msikiti mmoja katika mji wa Birmingham nchini Uingereza.
Habari ID: 3476790 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/31
Sera za Kigeni
TEHRAN (IQNA)- Ofisi ya Uwakilishi wa Kudumu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika mashirika ya kimataifa yaliyo na makao makuu yao mjini New York Marekani, imeandika kwa mnasaba wa Siku ya Kimataifa ya kupambana na Chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) kwamba: "Iran inasisitiza mshikamano wake kamili na wahanga wa mashambulio yanayochochewa na chuki dhidi ya Uislamu kote duniani."
Habari ID: 3476716 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/16
Umoja wa Mataifa
TEHRAN (IQNA)- Antonio Guterres, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amekosoa uenezaji hofu juu ya Uislamu na chuki za aina mbalimbali dhidi ya Uislamu na Waislamu duniani.
Habari ID: 3476699 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/13
Chuki dhidi ya Waislamu
TEHRAN (IQNA) – Kesi imewasilishwa katika jimbo la Missouri nchini Marekani baada ya wanaume Waislamu waliokuwa wakisali pamoja kwenye chumba chao kwenye gereza kumwagiwa dawa ya pilipili na kushambuliwa na maafisa wa gereza
Habari ID: 3476658 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/04
Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) – Jumuiya ya Waislamu katika eneo la Cambridge nchini Kanada (Canada) wanasema wameingiwa na hofu tangu msikiti wao ulipohujumiwa na kuharibiwa wiki iliyopita.
Habari ID: 3476653 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/03
Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) – Takriban misikiti miwili mjini London imepokea barua za chuki dhidi ya Uislamu kufuatia mitetemeko mikubwa ya ardhi nchini Uturuki na Syria ambayo imesababisha vifo vya makumi ya maelfu ya watu.
Habari ID: 3476576 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/17
Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) - Mamlaka za Uswidi ziliamua kutoruhusu uchomaji moto wa nakala Qur'ani huko Stockholm kwa vile kuvunjiwa heshima matukufu ya Kiislamu nchini humo kumelaaniwa vikali na ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 3476536 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/09
Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) – Mtandao wa kijamii wa Twitter umetangaza kusimamisha kwa muda akaunti ya Qur'ani Tukufu ambayo ina wafuasi milioni 13 kutokana na kile wakuu wa mtandao huo wa kijamii walichokiita kuwa eti ni ukiukaji wa miongozo yake.
Habari ID: 3476522 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/06
Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) – Michoro yenye chuki dhidi ya Uislamu iliyochorwa huko Capljina nchini Bosnia na Herzegovina ilizua taharuki kutoka kwa wakazi Jumamosi huku polisi wakianzisha uchunguzi kuhusu kesi hiyo.
Habari ID: 3476513 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/05
Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) - Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) ametahadharisha juu ya kiwango cha kutisha cha chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia )kufuatia kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu huko Ulaya hivi karibuni.
Habari ID: 3476500 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/01
Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) - Waziri Mkuu wa Pakistan ametoa wito wa umoja wa kimataifa dhidi ya vitendo vya kudhalilisha matakatifu ya Kiislamu.
Habari ID: 3476490 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/30
Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) - Kundi kuu la upinzani nchini Bahrain, Jumuiya ya Kitaifa ya Kiislamu ya al-Wefaq, limelaani utawala unaotawala wa kifalme wa ukoo wa Al Khalifa kwa kuwazuia Waislamu kufanya maandamano ya kupinga kuvunjiwa heshima Qur'ani barani Ulaya.
Habari ID: 3476476 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/28