chuki dhidi ya uislamu - Ukurasa 8

IQNA

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) – Takriban misikiti miwili mjini London imepokea barua za chuki dhidi ya Uislamu kufuatia mitetemeko mikubwa ya ardhi nchini Uturuki na Syria ambayo imesababisha vifo vya makumi ya maelfu ya watu.
Habari ID: 3476576    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/17

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) - Mamlaka za Uswidi ziliamua kutoruhusu uchomaji moto wa nakala Qur'ani huko Stockholm kwa vile kuvunjiwa heshima matukufu ya Kiislamu nchini humo kumelaaniwa vikali na ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 3476536    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/09

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) – Mtandao wa kijamii wa Twitter umetangaza kusimamisha kwa muda akaunti ya Qur'ani Tukufu ambayo ina wafuasi milioni 13 kutokana na kile wakuu wa mtandao huo wa kijamii walichokiita kuwa eti ni ukiukaji wa miongozo yake.
Habari ID: 3476522    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/06

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) – Michoro yenye chuki dhidi ya Uislamu iliyochorwa huko Capljina nchini Bosnia na Herzegovina ilizua taharuki kutoka kwa wakazi Jumamosi huku polisi wakianzisha uchunguzi kuhusu kesi hiyo.
Habari ID: 3476513    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/05

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) - Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) ametahadharisha juu ya kiwango cha kutisha cha chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia )kufuatia kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu huko Ulaya hivi karibuni.
Habari ID: 3476500    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/01

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) - Waziri Mkuu wa Pakistan ametoa wito wa umoja wa kimataifa dhidi ya vitendo vya kudhalilisha matakatifu ya Kiislamu.
Habari ID: 3476490    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/30

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) - Kundi kuu la upinzani nchini Bahrain, Jumuiya ya Kitaifa ya Kiislamu ya al-Wefaq, limelaani utawala unaotawala wa kifalme wa ukoo wa Al Khalifa kwa kuwazuia Waislamu kufanya maandamano ya kupinga kuvunjiwa heshima Qur'ani barani Ulaya.
Habari ID: 3476476    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/28

Waislamu Kanada
TEHRAN (IQNA) – Serikali ya Kanada (Canada) imemteua Amira Elghawaby kama mwakilishi wa kwanza maalum wa nchi hiyo katika kupambana na chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia).
Habari ID: 3476474    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/27

Chuki dhidi ya Uislamu Ufaransa
TEHRAN (IQNA) – Mwandishi wa riwaya wa Ufaransa mwenye utata Michel Houellebecq anashtakiwa na Muungano wa Misikiti nchini Ufaransa kwa ubaguzi, matamshi ya chuki na kuchochea ghasia katika matamshi wakati wa mahojiano.
Habari ID: 3476404    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/14

Chuki dhidi ya Uislamu Uingereza
TEHRAN (IQNA) – Baadhi ya nakala na Kurani Tukufu na vitabu vingine vya Kiislamu vilichanwa wakati wa shambulio la Msikiti wa Jamia Abdullah Bin Masood huko Sheffield, Uingereza.
Habari ID: 3476389    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/12

Chuki dhidi ya Uislamu Marekani
TEHRAN (IQNA) –Mhalifu anayeaminika kuwa mwenye chuki dhidi ya Uislamu amehujumu Kituo cha Kiislamu cha Tracy na Msikiti wa Tracy katika jimbo la California la Marekani mkesha wa mwaka mpya.
Habari ID: 3476361    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/05

Waislamu Uingereza
TEHRAN (IQNA)-Katika mkutano kamili wa Baraza la Serikali za Mitaa la Eneo la Scotland, la Uingereza wiki iliyopita, diwani Ali Salamati (Kilbride Magharibi Mashariki) alileta hoja ya kuitaka mamlaka ya eneo hilo azimio la kukabiliana na chuki dhidi ya Uislamu au Islamophobia.
Habari ID: 3476253    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/15

Waislamu Ujerumani
TEHRAN (IQNA) – Visa 120 vya uhalifu wa chuki dhidi ya Uislamu viliripotiwa nchini Ujerumani katika robo ya tatu ya mwaka huu.
Habari ID: 3476213    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/07

Chuki dhidi ya Waislamu Ufaransa
TEHRAN (IQNA) – Wakuu wa Ufaransa wameifunga shule mbili za Kiislamu katika mji wa kusini wa Montpellier, vyombo vya habari vya ndani viliripoti.
Habari ID: 3476108    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/18

Uislamu nchini Ujerumani
TEHRAN (IQNA) – Kwa mujibu wa utafiti, chuki dhidi ya wageni na chuki dhidi ya Waislamu imekuwa ikiongezeka kwa kasi mashariki mwa Ujerumani.
Habari ID: 3476064    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/10

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Utamaduni na Mwongozo wa Kiislamu wa Iran amesema, vyombo vya habari vyenye uadui vinapindua ukweli na kuandaa habari bandia ili kujaribu kutoa taswira isiyo sahihi kuhusu Iran ya Kiislamu na Ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 3475977    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/23

Waislamu Kanada
TEHRAN (IQNA) – Baraza la Kitaifa la Waislamu wa Kanada (NCCM) limeashiria kisa cha hujuma dhidi ya msikiti wa eneo la Toronto kama ishara ya "kuongezeka kwa kutisha kwa chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia)".
Habari ID: 3475963    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/21

Chuki dhidi ya Uislamu Ufaransa
TEHRAN(IQNA0- Wanaharakati katika mitandao ya kijamii ya Ufaransa wamekemea vikali shambulio lililofanywa dhidi ya mwanafunzi wa Kiislamu aliyekuwa na vazi la staha la hijabu katika shule ya sekondari baada ya nakala ya Qur'ani Tukufu aliyokuwa nayo kuraruliwa na kisha akavuliwa vazii lake la Hijabu.
Habari ID: 3475944    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/17

Chuki dhidi ya Uislamu Ufaransa
TEHRAN (IQNA) - Msomi na mwanafikra wa Ufaransa amesema chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) haikomei kwa chama fulani bali ni sera ya serikali nchini Ufaransa.
Habari ID: 3475936    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/16

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN(IQNA)- Mitazamo hasi na vitendo vya chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu vimeongezeka kwa kiwango cha kutia wasiwasi nchini Ujerumani.
Habari ID: 3475890    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/06