chuki dhidi ya Waislamu nchini Ujerumani
Umoja wa Uturuki na Kiislamu kwa Masuala ya Kidini (DİTİB) umeelezea wasiwasi wake mkubwa juu ya kuongezeka kwa visa vya chuki dhidi ya Waislamu nchini Ujerumani.
Habari ID: 3479089 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/08
Chuki Dhidi ya Uislamu Marekani
Mwanamke mmoja Kaskazini mwa Texas amekamatwa tena na anakabiliwa na dhamana ya dola milioni moja baada ya kushtakiwa kwa jaribio la kuua watoto wawili wa Kiislamu.
Habari ID: 3479057 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/03
Wito wa chuki’
Kundi la kutetea haki za Waislamu nchini Marekani limekashifu matamshi ya mjumbe wa Israel dhidi ya Waislamu, na kubainisha kwamba kauli kama hizo zitaongeza chuki na unyanyasaji dhidi ya Waislamu mjini New York.
Habari ID: 3479041 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/01
Ujerumani Chuki Dhidi ya Uislamu
Kulingana na shirika lisilo la kiserikali nchini Ujerumani, chuki dhidi ya Uislamu imeongezeka kwa asilimia 140 mwaka huu katika nchi hiyo.
Habari ID: 3479019 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/27
Chuki dhidi ya Uislamu India
Watu walizuia Shirika la Manispaa ya Delhi (MCD) kubomoa ukuta wa mpaka wa msikiti katika wilaya ya Rohini siku ya Jumanne.
Habari ID: 3479016 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/27
Kadhia ya Palestina
Mama Muislamu na watoto wake walikua wahasiriwa wa madai ya jaribio la mauaji katika kidimbwi cha kuogelea cha ghorofa huko Euless, Texas.
Habari ID: 3478999 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/22
Chuki dhidi ya Uislamu
IQNA - Tume ya Baraza la Ulaya ya Kupinga Ubaguzi wa Rangi (ECRI) imetoa ripoti yake ya kila mwaka, ikifichua mwelekeo unaohusiana wa kuongezeka kwa ubaguzi dhidi ya wagonjwa Waislamu wanaotafuta huduma za afya Ulaya.
Habari ID: 3478996 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/21
Chuki dhidi ya Uislamu
IQNA-Baraza la Uhusiano wa Uislamu na Marekani (CAIR) eneo la San Francisco Bay Area (CAIR-SFBA) limelaani vikali mashambulizi ya maneno ya chuki yaliyolenga jamii ya Waislamu wakati wa Eid Al-Adha.
Habari ID: 3478992 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/20
Chuki dhidi ya Uislamu
IQNA - Baraza la Kitaifa la Waislamu wa Canada (NCCM) limeripoti kuongezeka kwa 1300% kwa matukio ya chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) katika nchi hiyo ya Amerika Kaskazini kufuatia kuanza kwa mauaji ya kimbari ya Isarel dhidi ya Wapalestina huko huko Gaza.
Habari ID: 3478943 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/07
Waislamu Ufaransa
IQNA - Msikiti Mkuu wa Paris ulimkosoa waziri mkuu wa Ufaransa kwa matamshi yake ya hivi karibuni ya chuki dhidi ya Uislamu.
Habari ID: 3478751 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/30
Waislamu Marekani
IQNA – Ofisi ya Maadili ya Chuo Kikuu cha Duke nchini Marekani imeanzisha uchunguzi kuhusu uchafuzi wa mabango kuhusu mwezi wa Ramadhani, jambo ambalo limeibua wasiwasi wa chuki dhidi ya Uislamu ndani ya a chuo hicho.
Habari ID: 3478750 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/30
Chuki dhidi ya Uislamu
IQNA - Inaonekana hakuna nia nchini Uswidi ya kukomesha vitendo vya kuvunjia heshima Qur'ani Tukufu, vitendo ambavyo vimewasikitisha na kuwakasirisha Waislamu kote ulimwenguni.
Habari ID: 3478747 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/28
IQNA-Wanafunzi wa aislamu katika Chuo Kikuu cha Rutgers nchini Marekani wameelezea wasiwasi juu ya usalama wao baada ya kituo chao cha Kiisilamu kuharibiwa wakati wa siku kuu ya Idul Fitr.
Habari ID: 3478675 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/12
Chuki dhidi ya Uislamu
IQNA - Jumuiya ya Wanafunzi Waislamu wa Kisomali (SSA) ya Chuo Kikuu cha Washington Seattle (SSA) imelengwa kwa barua ya chuki dhidi ya Uislamu.
Habari ID: 3478584 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/26
Uislamu Japan
IQNA-Mwanaakademia wa Kijapan, Kayyim Naoki Yamamoto amesema, hisia za chuki dhidi ya Uislamu (Islamopobia) nchini Japan zinaongezeka tangu utawala haramu wa Kizayuni wa Israel ulipoanzisha vita vya kikatili na mashambulio ya kinyama dhidi ya Ukanda wa Ghaza Oktoba 7, 2023.
Habari ID: 3478466 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/07
Waislamu Uingereza
IQNA - Chama tawala cha Wahafidhina (Conservative) nchini Uingereza kimemsimamisha kazi mmoja wa wabunge wake kufuatia maoni ya chuki dhidi ya Uislamu dhidi ya meya wa London.
Habari ID: 3478415 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/26
Chuki dhidi ya Uislamu Uingereza
IQNA - Idadi kubwa ya matukio ya chuki dhidi ya Waislamu na Uislamu yameripotiwa nchini Uingereza tangu kuanza kwa vita vya mauaji ya kimbari vya Israel dhidi ya Gaza, kulingana na kundi linalofuatilia visa kama hivyo.
Habari ID: 3478403 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/23
Chuki dhidi ya Uislamu
IQNA - Msikiti mmoja katika mji mkuu wa Uswidi wa Stockholm umekuwa ukilengwa na mashambulizi ya chuki dhidi ya Uislamu kwa zaidi ya mwaka mmoja, huku tukio la hivi punde likitokea Jumatano wakati waumini wa Kiislamu walipoona ukuta wa msikiti ukiwa umechorwa Swastika ambayo ni nembo ya wanazi na maandishi ya "waue Waislamu "
Habari ID: 3478402 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/23
Chuki dhidi ya Uislamu
IQNA - Kituo cha Kiislamu cha Cambridge nchini Kanada kimeungwa mkono na jamii na viongozi wa kisiasa baada ya kupatikana kwa maandishi yenye motisha ya chuki kwenye kuta za jengo lake siku ya Jumatatu.
Habari ID: 3478362 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/16
Chuki dhidi ya Uislamu
IQNA - Kiongozi mkuu wa Kiislamu mjini Dublin nchini Ireland alivamiwa na watu wawili katika kile alichokitaja kuwa "uhalifu wa makusudi wa chuki" Alhamisi usiku.
Habari ID: 3478361 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/16